Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Samahan mkubwa kuna dogo langu yeye limefaulu phys D na bios D je linaweza kupata vyuo vya nursing maana kuna kademu ka 1 kalimaliza mwaka jana o lever yy kalipata BIOS D na KISW D akapata chuo cha nursing je na huyu dogo langu anaweza kupata? Nifahamishe mkubwa.
 
Jamani msaada p'se, mdogo wangu kapata div4 pt 32. Ana D 3, ya Civ, Biol na Geog. Masomo mengine kapata F. Hivi huyu anafaa kusoma nini maana nilitaka arudie shule.
 

Lakini ana F ya hesabu, si kwamba kusoma HGE, kama ilivo kwa combinations za science, anahitajika kufaulu hesabu katika mtihani wa form four?
 
Wakuu naomba msada wa mawazo kwa dogo langu anapend unesi lakini ana 4 ya 33 yani kafaulu civic=D na Bios=D je anaweza fanikisha ndoto zake?
 
Wakuu naomba msada wa mawazo kwa dogo langu anapenda unesi lakini ana 4 ya 33 yani kafaulu civic=D na Bios=D je anaweza fanikisha ndoto zake?
 

Ujue kuna kitu watu wanamislead!! Hivi kwanini wanafunzi wengi hawajiamini?? Sasa mtu kama huyu kwanini first selection yake isiwe Special School??(Kibaha, Tabora Boys,Mzumbe au Ilboru)? Kwanini?? Hii ni kutojiamini...bt kwa matokeo ya mwaka huu huyu mtu anaweza kwenda PCM special school...Kwa mfano hhili tatizo hata mimi nilikuwa nalo...at my time(baada ya kudanganyana shuleni) shule ya kwanza kujaza ilikuwa tosamaganga, lakini ikatokea nikapata A masomo ya PCM...ikawa nina pt 3, sasa piga ua siwezi kwenda Tosa,walichokifanya wakanipeleka Tabora Boys(may be it was my lucky).

Back to point Phy C Chem B na Math A hapa ana point 6 kwa perfomance mbaya ya mwaka huu huyu angeenda special bila wasi endapo angejaza(may b atapelekwa Tabora Boys) otherwise ategee kwenda Tosa alikoomba PCB as 1st choice!! Kwa hali ya sasa Tosa ni shule nzuri sana compared to hizo nyingine ulizotaja(Nakumbuka mwaka 2006 ama 7) Tanzania One Best student alitoka Tosa for the first time advance, so atachaguliwa hapo ila akoma e tu!!

Nawakilisha.

 
Wakuu naomba msada wa mawazo kwa dogo langu anapenda unesi lakini ana 4 ya 33 yani kafaulu civic=D na Bios=D je anaweza fanikisha ndoto zake?

Duh aiseee!! hapa bana nisikudanganye!! unesi kwa D 2 ni ngumu, 33 ni 4 ya mwisho, arudie atafute D ya 3 halafu ajaribu kuomba ingawa kiasi flani ni ngumu due to compitition
 
Lakini ana F ya hesabu, si kwamba kusoma HGE, kama ilivo kwa combinations za science, anahitajika kufaulu hesabu katika mtihani wa form four?

Perfomance ya hesabu itamsaidia huko mbeleni kwenye kuomba nafasi za vyuo..ila kwa kwenda f5 hesabu sio inshu
 
Jamani msaada p'se, mdogo wangu kapata div4 pt 32. Ana D 3, ya Civ, Biol na Geog. Masomo mengine kapata F. Hivi huyu anafaa kusoma nini maana nilitaka arudie shule.

Kurudia shule ni wastage of time...ilhali ana D 3 basi yupo subjected kuanza na certificate ya baadhi ya kozi...jaribu kuitia sredi hii full utapata vyuo na kozi zake!
 

Anaweza akapata kwa ngazi ya certificate, its better to try than never bro...let her try
 
Hv kuanzia crdt ngapi unaingia deploma 1 kwa 1 college
 
Hv kuanzia crdt ngapi unaingia deploma 1 kwa 1 college

Kuanzia D 5 sometimes zikiwepo za Maths na English...bt D 5 ni minimum pass for directly entry for ordinary diploma
 
 
Please brother naomba uniorodheshee viambatanisho vya barua ya maombi ya kujiunga na chuo chochote..
 
Mkuu Sizinga narudi tena kwasababu kuna dogo wajirani kaniomba ushauri baada ya kusikia nikisema haya mlo andika humu.

Matokeo yake yako hivi:-
Civ D
Hist D
Geo D
Kisw F
Engl F
Phy F
Chem D
Bio D
Agri D
B/Math F
yaani Division IV ya 29.

Sasa Mkuu huyu anaweza kwenda Diploma wakati amefeli Hesabu na English? Na kama anaweza ni kwa course ipi katika chuo kipi?
Au kama hawezi kusomea diploma afanyeje mkuu?
 

samahan mkubwa kuna dogo langu yy limepata D mbil tu ya PHYS na BIOS JE linaweza kupata vyuo vya nursing?
 

Huyo aende vyuo vya nursing wanamchukua bila tatizo lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…