Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,763
Akiweka link niiteni mbwa!
heeeNa ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Its true, JF ni very addictive, nahisi hata mahitaji ya zile services yamepungua, siku hizi hata umuone mtu anatusha vipi, suruali hazibani, wife kama dada, ni mwendo wa mzungu wa nne, kisa JF!.
P
Lumumba wapumbavu kweli hivi unfair bado tupo zama za kudanganywa.FORBES wanasema Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi, mleta maendeleo’, ndani ya story hiyo wanaeleza mafanikio kedekede ya serikali yake
View attachment 1131146
Mkuu nisaidie kitu hapa, kwani hii ndio ile forbes ambayo ilikuwa inamuandika sana Mo dewji kipind cha nyuma utajiri wake ? mana kuna point naitafuta hapaNa ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Hao fobers wanajua lakin kuwa korosho zinaozea gharani
No mi bado kabisa!.Watu weweeee, nimecheka Ile mbaya. Au hiyo service kwa wife imeshuka kutokana na raslimali umri nini?
Kuuzwa wapi wakati mpaka sasa serikali yako haijamaliza kuwalipa wakulima pesa zao...Kama korosjo itakua hasara itakua bahati mbaya tu kwa serikali lakini si kwa wakulima ambao serikali itakua imewapigia kifua kwa dhuluma ya wafanya biashara waliyotaka kuwadhulumu kwa kula njama kuweka bei ndogo. Hata hivyo bado kuna uwezekano wa korosho hizo kuuzwa.
Kashindwa kumsaidia baba yako mzazi kashindwa kumsaidia mjukuu wake aje magufuli amsaidie bibi yako unaakili we we?Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
Hawaangaliagi umbea hao bali huyapima mambo kwa uhalisia wake basiHao fobers wanajua lakin kuwa korosho zinaozea gharani
Na ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Duh, umewavua nguo mkuu.Na ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Wasiwsi wangu sasa ni mavuno ya mwaka huu sijui itakuwaje labda wafanyabiashara waweke bei nzuri mapema isije kuzua ungomviKama korosjo itakua hasara itakua bahati mbaya tu kwa serikali lakini si kwa wakulima ambao serikali itakua imewapigia kifua kwa dhuluma ya wafanya biashara waliyotaka kuwadhulumu kwa kula njama kuweka bei ndogo. Hata hivyo bado kuna uwezekano wa korosho hizo kuuzwa.
Na ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Hakuna, lakini tatizo ni pale unapojaribu kuaminisha umma kwamba "napendwa" wakati umelipia tangazo itangazwe kwamba "unapendwa!" Tatizo ni pale unapojaribu kuutangazia umma kwamba unafanya mambo mazuri kweli kweli kumbe umelipia tangazo liuambie umma usiokufahamu vizuri kwamba unafanya mambo mazuri kweli kweli!!Nani asiyefanya marketing and advertisement in this world?