Hivi ni kwamba watanzania hatufahamu historia au tunapuuza historia? kuna gani geni katika hilo? Kama tutatulia na kukumbuka historia ya miaka minne tu iliyopita hakuna jipya wwla la kushangaza.
Rweyemamu alishiriki katika kampeni wa mtandao wa kikwete ambao ulikuwa na washirika saba ambao kati yao rostan alikuwepo. kwa uhusiano huo la ajabu ni lipi?
hebu toeni mpya sasa hizo za zamani.
Rweyemamu alishiriki katika kampeni wa mtandao wa kikwete ambao ulikuwa na washirika saba ambao kati yao rostan alikuwepo. kwa uhusiano huo la ajabu ni lipi?
hebu toeni mpya sasa hizo za zamani.