Is this what you tells yourself at night, huuh...??
No. This is not real , Love is not real pal. It's just a bunch and pile of illusios....This what you call it love is your abomination and Doom.
Leo siku ya maigizo inawahusu waigizaji wa mapenzi tu na hasa wasioyajua wanaoamini kumpenda mtu ni kutuwekea picha yake kwenye mitandao na kuiambia picha ile eti "nakupenda". Sifa kuu ya mapenzi ni faragha bhana, hata iweje kama unampenda atajua tu, sisi huku wala haituhusu na wala hatuhitaji kusikia ukimwambia nakupenda kwa sababu sisi wala sio mawakala wa huyo unayedai kumpenda.
Acha mapenzi yaongee yenyewe msiyasemee, mapenzi sio bubu!