For those who fall in love with someone here

For those who fall in love with someone here

Bora urudi rivas

Unahamia kwa nani vile?

yani nivutiwe nawe afu nihame kwa mwingne loh! Nakufanyia utafiti!! Btw- ulivyosema ni kweli kabisa ,ushauri murua tena hizo avatar za warembo ndo wengine hoi bintaabani !tumeshashuhudia hapa thread kibao watu wakipondana baada ya kukutana huko na ni sababu hiyo ya mategemeo makubwa!!
 
hahahahahahaha baba paroko utavunja mbavu zangu
gogo kuludi juu majanga

lakini mimi naweza kulala popote

Kazi yangu ni kuwasaidieni kuishi maisha mazuri na kuongeza siku zenu za kuishi kwa kucheka hivyo usijali we cheka tu mama

Hapo nilipobold
Bado suala ni lile lile tu
Mtu anaweza kukuona wewe ni mwanamke unaefaa sana

Lakini swali la kujiuliza ni je unamaanisha haya ulyosema au ni longolongo tu?
Kuthibitisha hilo ni kazi ya atakaeaua kukusarandia!!
 
yani nivutiwe nawe afu nihame kwa mwingne loh! Nakufanyia utafiti!!
Nasubiria matokeo ya utafiti
Btw- ulivyosema ni kweli kabisa ,ushauri murua tena hizo avatar za warembo ndo wengine hoi bintaabani !tumeshashuhudia hapa thread kibao watu wakipondana baada ya kukutana huko na ni sababu hiyo ya mategemeo makubwa!!
Kama kuna mtu mjing.a basi ni yule ambae anahamasika na kujiingiza kwenye uhusiano kwasababu tu ya avatar
Utashawishiwaje na kitu ambacho unajua kabisa sio halisi?

Hovyo kabisa!!
 
Kazi yangu ni kuwasaidieni kuishi maisha mazuri na kuongeza siku zenu za kuishi kwa kucheka hivyo usijali we cheka tu mama

Hapo nilipobold
Bado suala ni lile lile tu
Mtu anaweza kukuona wewe ni mwanamke unaefaa sana

Lakini swali la kujiuliza ni je unamaanisha haya ulyosema au ni longolongo tu?
Kuthibitisha hilo ni kazi ya atakaeaua kukusarandia!!

kweli nayamaanisha niyasemayo baba paroko lakini mimi hawanisarandiagi humu sijui kwanini may be avatar yangu haiko romantic
 
kweli nayamaanisha niyasemayo baba paroko lakini mimi hawanisarandiagi humu sijui kwanini may be avatar yangu haiko romantic

Nilikushauri uibadili ukakana shauri yako

Lakini kuwa makini nasikiaga eti kuna mabazazi humu


Au si tuanze mimi na wewe.........?????lol!!!!!!!!!!!
 
Hii hainihusu. Nimeingia jeiefu na bigijii yangu inafaa kupuliza, ikipungua utamu naongezea sukari guru. Cha kutema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa? Akhuuu!

I have made good friends on jf. Lakini umenena, kila mtu Ana tabia zake. Hatufanani, tunachukuliana kwa upendo. Usitangulize mapenzi or rather tamaa za mwili kabla ya urafiki. Kuna mtu Ana thubutu kukutamkia 'i ravu yuuu' afu next week yake anakurarua kwenye thread hadi unabaki kucheka Tu. Personalities hazina Ku-act bwana, when you are pushed to the limit your true character shows.

Eiyer mdogo wangu, I ravu yuu tuu!
 
Last edited by a moderator:
Aaahh..Jamani umentoroshea kindege changu

Unapenda kindege cha kuja kukuanzishia thread hapa kuwa !tian ana uso sijui kama anapuliza moto au sijui miguu kama mshumaa???........lol!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hii hainihusu. Nimeingia jeiefu na bigijii yangu inafaa kupuliza, ikipungua utamu naongezea sukari guru. Cha kutema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa? Akhuuu!

I have made good friends on jf. Lakini umenena, kila mtu Ana tabia zake. Hatufanani, tunachukuliana kwa upendo. Usitangulize mapenzi or rather tamaa za mwili kabla ya urafiki. Kuna mtu Ana thubutu kukutamkia 'i ravu yuuu' afu next week yake anakurarua kwenye thread hadi unabaki kucheka Tu. Personalities hazina Ku-act bwana, when you are pushed to the limit your true character shows.
Huu ushauri unaonesha huyu ni mwanamke aliyekua kiakili na kimwili pia
Asante sana
Eiyer mdogowangu, I ravu yuu tuu!
I heti yuuuuu

Halafu tangu asubuhi naku DIPU ukaninunulie juisi mbona hupigi?
 
Back
Top Bottom