Ukweli si huo nimeusema kwani kuna ukweli gani tena?
Watu wanapretend sana humu haswa jukwaa hili duh!!!!
Kwa taarifa yako me siachi nitakomaa hapa hapa mpaka nipate mke tena yule yule ninaye mwazia kwa kuangalia michango yake na avata yake...Hizo dili na zitibuke tu
Uliniambia nini?
mkuu wana pretend vipi? kwamba they are somewhere they cant be reached or how?
Huo ndo ukweli wangu kama una ukweli mwingne ruksa kusemaSema mwenyewe kabla sijakusemea
Oh heck yeah...
Sipendi kusemwa vibaya na mijitu ambayo (1) hainijui kabisa, (2) inasema uongo (3) inasema uzushi.
Humjui mtu, kaa kimya, nyamaza. Siyo kuanza kumzushia kana kwamba umemzaa wewe wakati hata akipishana na wewe barabarani huwezi kujua kama ndo yeye.
mmmh! Yalikukuta?
Kwa taarifa yako me siachi nitakomaa hapa hapa mpaka nipate mke tena yule yule ninaye mwazia kwa kuangalia michango yake na avata yake...
Wala hapa hauja niharibia!
Wanapretend wema, utiifu, uzuri, tabia nzuri, HB, elimu, n.k mkuu
Acha tu mdogo wangu...sirudii tena...nimekoma!!!!
tena kidogo niteleze mara nyingine, lolz
oh! Jamani! Nimekuhurumia! Polee next tym be careful sawa ee!!
Namwita uuur.......mbona unaniziba mdomoMi namwangalia tu,mwache ajishaue ntakua sichezi nae kombolela tena
Aseme hapa syo anajikanyaga kanyagaDuh!!!!!!!
Ngoja nitege sikio!!
Kwa taarifa yako me siachi nitakomaa hapa hapa mpaka nipate mke tena yule yule ninaye mwazia kwa kuangalia michango yake na avata yake...
Wala hapa hauja niharibia!