Picha zipi hizo mrembo?
Excel nilijua hutakua mchangiaji hapa maana inaonesha wewe ni affected wa PM. Anyway mapenzi ya humu hayachukuliwi serious sana maana wana jf sio wote wanaishi mkoa mmoja au wanaweza kukutana na kuanza mapenzi kirahisi hivyo labda mtu kama ndio tabia yake huko mtaani sawa. Jf ni kama tupo kwenye msitu mnene wakati wa usiku
Wengine wakiona watu humu wanaandika kiingreza tayari wanajua mambo safi kumbe hakuna kitu,wengine picha zikitundikwa humu wanakua hoiii
Wengine wanapenda avatar
Excel nilijua hutakua mchangiaji hapa maana inaonesha wewe ni affected wa PM. Anyway mapenzi ya humu hayachukuliwi serious sana maana wana jf sio wote wanaishi mkoa mmoja au wanaweza kukutana na kuanza mapenzi kirahisi hivyo labda mtu kama ndio tabia yake huko mtaani sawa. Jf ni kama tupo kwenye msitu mnene wakati wa usiku
Nilisikia makelele hapa kuhusiana na hii mikusanyiko
Hii mijitu kweli inakera
Hebu fikiria jitu limetoka kwao kwenda kwenye hiyo mikusanyiko eti kwenda kumuangalia fulani anavaa nini leo
Bora hata hilo jitu liwe jike kumbe dume
Hii mijitu ya aina hii ni ya kupewa dispilini kabisa
Unakwenda kumuangalia mtu kavaaje huna kazi ya kufanya?
Bora hata uende kuangalia hivyo na iishie hivyo,jitu linakuja hapa na kuanza kumbe fulani ndio yule,kumbe ana miguu ya vile,hii mijitu hii
Mtu mnaanza kutongozana PM na mnakubali kuonana
Wewe unajua labda mwenzako ni muelewa,unaamua kutoka zako gereji na nguo zako zenye grisi,unakwenda kuonana nae kesho tu unaona jitu limeanzisha siredi hapa
Hii mijitu hii kazi sana!
hahaha, watu wa aina hii ni kuwaignore tu maana utapoteza energy yako kuwakemea... hii ni asili yao.
Cha kufanya, kama unataka kukutana na mtu, inabidi wewe ndio umsome dhamira yake ili usipoteze muda wako...
(aisee yaelekea unamengi ya kusema Nyani Ngabu!!
Hahahaaa!! mkuu ni kweli kabisa unachosema.. jf ni kama kulazimisha kutumia skype kwenye pc ambayo haina web cam wala hujaweka device nyingine yoyote itakayokuwezesha kuonana na mtu...
watu wa economics wanaita perfect competitive market...
though it can exist..
Huna haja ya kumtaja mrembo wa kibantu
Wewe malizana nae PM tu ili ukidunda yaishie huko!
....Nina uzoefu kidogo na hili mkuu..wakati mwingine mtu anaweza kuweka matarajio makubwa sana...na ukimwambia twende taratibu inakua shida...nisiongee sana mkuu...hata hivyo hayo mambo yalosha ishaMkuu una uzoefu gani ulionao wa hili?
Hebu fikiria jitu limetoka kwao kwenda kwenye hiyo mikusanyiko eti kwenda kumuangalia fulani anavaa nini leo
Bora hata hilo jitu liwe jike kumbe dume.
Hili bora likaimbe mipasho tuOh yeah...linaenda tu kuchora wenzake lipate cha kuchogea umbea na uzushi.
Kama ulivyosema, linaenda kuangalia fulani kavaa nini au kaja na usafiri gani, yukoje yukoje, kama ana sura kama chura au kichogo kama Madenge.
Huyu bora tumvalishe sket!!Na tena dume lenye mke na watoto nyumbani!