Halafu uache ubazazi ...lol!!!!!!
Ungejua kuwa hiyo siyo bahati anazuga tuMkuu "bahati" imejileta yenyewe hiyo
Shauri yako!!
Siku hizi umekua mpole
Unataka tukufikirie?
Mkuu umenichekesha sana
Hiyo "mijitu" isamehe bure tu
Mtu amekujulia hapa lakini utadhani aliwahi kukulipia hela ya dawati shule ...lol!!
Huko kukujua kidogo nako ni tatizo
Mtu alioneshwa tu barabarani yule ndie Ngabu
Anakuja hapa na kuanza "kukuchana"
Kumbe Ngabu mwenyewe ni mweusi hivyo ..lol!!!!
Kumbe aliyemuonesha alikosea yule sio Ngabu ni Eiyer ...lol!!
Hii "mijitu" hii ...lol!!!!!!!!!!!!!!
Nina hasira sana na hiyo mijitu aisee. Ningekuwa mtu wa kupenda kujichanganya na watu wa humu ipo siku ningeilia timing kwenye moja ya hiyo mikusanyiko yao niende nikaianzishie sokomoko la mangumi ya uso.
Lakini bahati mbaya (au nzuri) huwa sijichanganyi hovyo hovyo na watu wa humu kwa sababu hiyo hiyo ya huo ujinga wao.
Fikiria tu, hivi tu haikujui hata kidogo lakini inavyokuzushia uzushi, ikikujua walau kidogo tu si ndo itakuwa balaa kabisa?
Ku.manina zao yote nyie mijitu inayojifanya inajua sana watu humu ilhali hamuwajui hata chembe. Kukwotiana na kupeana likes humu hakuwafanyi muwajue wengine wala haimaanishi mnawajua. Ebo!
actually.. nahisi ujana unanizidi nguvu.. damu inachemka mnoooo baba paroko!
kuna mdau mmoja alileta ule uzi wa masaa 48, unaukumbuka vizuri?
Baba paroko sijamzimia mtu bado, ila nina marafiki tu.
Nataka kumzimia mtu, dah ila kazi kumzimia mtu hata humjui. Nitajaribu kihisia.
Nina hasira sana na hiyo mijitu aisee. Ningekuwa mtu wa kupenda kujichanganya na watu wa humu ipo siku ningeilia timing kwenye moja ya hiyo mikusanyiko yao niende nikaianzishie sokomoko la mangumi ya uso.
Lakini bahati mbaya (au nzuri) huwa sijichanganyi hovyo hovyo na watu wa humu kwa sababu hiyo hiyo ya huo ujinga wao.
Fikiria tu, hivi tu haikujui hata kidogo lakini inavyokuzushia uzushi, ikikujua walau kidogo tu si ndo itakuwa balaa kabisa?
Ku.manina zao yote...........(aisee yaelekea unamengi ya kusema Nyani Ngabu!!
Well said Paroko. Konacholeta heart attack ni matarajio ya juu wakati mtu hujamuona. Maana akili yako inakuwa imeshamtengeneza huyo future candidate kwa jinsi unavyoona wewe ndo halisia na kujiaminisha kuwa ndivyo. Sasa kimbbe mnapokutana na ku spend time pamoja ndo unaanza kupata kizunguzungu.
In fact hii iko hata kwenye ndoa. Wakati wa courtship watu wanakuwa hawajafungua makucha yao. Sasa kazi mkishaingia ndani kama mume na mke ndo movie inaanza. Ndo maana so ajabu kusikia wana ndoa wanasema hakuwa hivi nilipokutana naye mwanzoni. Na kuna ukweli kuwa ukipenda sana kuna baadhi ya indiators huzioni kwa wakati huo.
Excel nilijua hutakua mchangiaji hapa maana inaonesha wewe ni affected wa PM. Anyway mapenzi ya humu hayachukuliwi serious sana maana wana jf sio wote wanaishi mkoa mmoja au wanaweza kukutana na kuanza mapenzi kirahisi hivyo labda mtu kama ndio tabia yake huko mtaani sawa. Jf ni kama tupo kwenye msitu mnene wakati wa usikuactually.. nahisi ujana unanizidi nguvu.. damu inachemka mnoooo baba paroko!
kuna mdau mmoja alileta ule uzi wa masaa 48, unaukumbuka vizuri?