Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wote wanamatatizo kiujumla , kwanza kabla ya kuoana mnasomana na mnaridhiana kwamba niko tayari kwa haya .
Wewe umeongea mkuu.
Tatizo dada zetu siku hizi wanakimbilia sana kuolewa bila hata ya kufikiri mtu mmeonana kwa mwezi tu unakubali ofa ya kuolewa nae sasa hujui tabia zake angalia sasa baada ya ndo jamaa anarudi saa 7 au 8 huko usiku yupo kilaji anaingia chumbani analala na viatu hahahaha mjaribu kuwapa shule dada zetu jamani sio unaona mtu anakiescudo basi unajua ndo mme wa kweli huyu hehehe unaona sasa mnajuuta.