Foleni ya wenye ukimwi yakosa watu!

Foleni ya wenye ukimwi yakosa watu!

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
486
Kule Loliondo Babu aliamua kutibu kutokana na matatizo mbalimbali. Basi kukawepo foleni ya watu wa kisukari, ya athma, ya presha, ya kansa mbalimbali na ya wenye HIV. Hii ni kuboresha huduma tu! Basi ile foleni ya wenye HIV haikuwa na watu. Babu akasimama akasema kwa kuwa hii foleni ya wenye HIV hakuna watu basi inabidi dawa yake tuimwage! Weeee watu wakang'aka aaaaaaaaaaaah wapi sisi tutainywa hata hiyo hivyo hivyo!
 
Back
Top Bottom