William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #21
1. An opposition party that should include intelectuals, trade unionists the likes of Rwegasira of TRL, the students and their leaders under the Kikwete.
2. Muwe na ideology. Kikwete aachane na CCM. Kwa njia hii akina Sita na wale wana CCM kama akina Mpendazoe na Lembeli siyo Kimaro, na wajitoe CCM wamuunge mkono JK.
3. Ukiweza kuwa mobilise hawa na jeshi la wasomi wasiokuwa na ajira unawatuma vijijini kukinadi chama.
4. Then you ask support religious leaders wasiokuwa mafisadi maana huko pia wapo. Kwa njia hii utaupata upinzani wa kweli.
5. Halafu CCM unamwachia Makamba na akina Lowasa, Rostam, Karamagi na tuone na fedha zao na utajiri wao wataishia wapi. Baada ya uchaguzi CCM will disappear kwa style ya mshumaa.
- Ni mawazo mazito na ninaamini wapinzani wapo hapa wanayafyonza au kuyapa attention.
Respect.
FMEs!