FM transmitter na FM radio

FM transmitter na FM radio

ombeni

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
47
Reaction score
2
Wakuu naomba kuelewa maana ya maneno hayo hapo juu.Asanteni naomba kuwasilisha.
 
majibu yenu mazuri lakini sasa kuna umuhimu gani wa hili jukwaa?
 
Hapa ni mahali pa great thinkers ndio maana jamaa wanakushambulia kwa post ya kitoto
 
Hapa ni mahali pa great thinkers ndio maana jamaa wanakushambulia kwa post ya kitoto
katika kutoa majibu jaribu kuangalia huoy mtu kajiunga lini! kuna "newbie" ambao wanahitaji kuongozwa hata hayo matumizi ya google.
 
katika kutoa majibu jaribu kuangalia huoy mtu kajiunga lini! kuna "newbie" ambao wanahitaji kuongozwa hata hayo matumizi ya google.
Not only that,despite of the join date any question asked goes answered,it may be stupid to you but not to the person asking. Mjirekebishe
 
pole mkuu!!HATA KU GOOGLE HUWEZI?!!
sharobalo majibu kama haya wana techno hatuna,yapo huko kwingine nadhani ushahidi upo chini hapo ulikutana nayo kwenye mada yako huko MMU. Huku sisi ni wakarimu na kila swali lina uzito wake. Take it easy tuko Pamoja!https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/138990-swali-kuhusu-mtoto.html
 
Me naaona kumpinga mtoa mada akati anaataka msahada ni ufinyu wa wamawazo...hii inaonesha mnajiita great thinkers wakati hamna kitu...me sijaona haja kama mtu anajua jibu asilitoe kisa google ipo ....hii niishara kuwa hamjui tofauti ndo maana mnatoaa maajibu ya mkato....nimemaliza staki nijibiwe
 
Wakuu naomba kuelewa maana ya maneno hayo hapo juu.Asanteni naomba kuwasilisha.

Haya bila ku google ni hivi

-FM tramsmiiter ndiyo inayotumika kurusha mawimbi ya fm. Unaweza kuwa mnara mkubwa na ku retramsmit. Mfano vituo vingi vya televisionn na radio Dar vina Tramsmiter zao kisarawe.

-FM radio ni mawimbi ya sauti yanarushwa kwenye masafa ya FM
kitaalam ukisema neno radio maana take ni mawimbi/ waves. Na kabla ya kuwa na mawimbi ya FM lazima yawe tramsmitted na FM transmiter.

Kwa uchambuzi na maelezo ya kitaalam anzia hapa
Transmitter - Wikipedia, the free encyclopedia
FM broadcasting - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Haya bila ku google ni hivi-FM tramsmiiter ndiyo inayotumika kurusha mawimbi ya fm. Unaweza kuwa mnara mkubwa na ku retramsmit. Mfano vituo vingi vya televisionn na radio Dar vina Tramsmiter zao kisarawe. -FM radio ni mawimbi ya sauti yanarushwa kwenye masafa ya FMkitaalam ukisema neno radio maana take ni mawimbi/ waves. Na kabla ya kuwa na mawimbi ya FM lazima yawe tramsmitted na FM transmiter.Kwa uchambuzi na maelezo ya kitaalam anzia hapa Transmitter - Wikipedia, the free encyclopediaFM broadcasting - Wikipedia, the free encyclopedia
Shukran Zing unaonesha utu uzima
 
And i'm guessing the difference btn FM and AM or MW lies in frequency?
 
And i'm guessing the difference btn FM and AM of MW lies in frequency?

No I think the core difference relies s on the modulation techniques used . In simple mduation concept u can just say FM is digital version of AM wich is analog.
 
Mnalishusha thamani kabisa jukwaa la science and technlogy; Tukubali huyu bwana mgeni hajafanya homework yake ipasavyo. haiingii akilini kuwa hajui msaada wa google ktk kujifunza. Mimi nilitegemea humu tutaulizana maswala "magumu" ambayo pamoja na kusomasoma sehm mbalimbali bado yanakukanganya! HAya bana, mm nina swali langu!

What is a bit?
 
And i'm guessing the difference btn FM and AM of MW lies in frequency?
FM -Frequency Modulation
AM -Amplitude Modulation(MW -Medium Waves & SW -Short Waves)
FM transimmiter =mtambo wakurusha matangazo yaliyo katika mfumo wa fm.huwa ni ya distance fupi fupi na yasiyo na mikwaruzo..matangazo ya TV katika VHF na UHF huingia katika kundi hili
FM Radio=mara nyingi huwa ni receiver capable kureceive na kudemodulate FM waves...radio nyingi za sasa hutumia mfumo huu
 
Me naaona kumpinga mtoa mada akati anaataka msahada ni ufinyu wa wamawazo...hii inaonesha mnajiita great thinkers wakati hamna kitu...me sijaona haja kama mtu anajua jibu asilitoe kisa google ipo ....hii niishara kuwa hamjui tofauti ndo maana mnatoaa maajibu ya mkato....nimemaliza staki nijibiwe
unaweza ku-google na usielewe! inategemea na fani yako
 
This is not a childish post hivi mnafahamu ya kuwa ujuavyo ww sio wengine wajuavyo thats y kuna forums mbalimbali mtu anavyouliza anataka kujua kwani hiyo google yeye haifahamu? Ina maana wazungu kwene forums zao mbona huuliza maswali kama hayo ina maana hawajui matumizi ya google?
Hapa ni mahali pa great thinkers ndio maana jamaa wanakushambulia kwa post ya kitoto
 
This is not a childish post hivi mnafahamu ya kuwa ujuavyo ww sio wengine wajuavyo thats y kuna forums mbalimbali mtu anavyouliza anataka kujua kwani hiyo google yeye haifahamu? Ina maana wazungu kwene forums zao mbona huuliza maswali kama hayo ina maana hawajui matumizi ya google?

kwani wazungu wao ndio nani hata uwatolee mfano wa stayli hiyo?
jee sisi lazima tuwe kama wazungu? au kwa vile unawaona weupe ndio unadhani mavi yao hayanuki?.........(joke):lol:
hizo forum unazosema sio za great thinkers. kuna forum za kuuliza maswali kama hayo. you have to think your self.
hapa tunataka maswali magumu tusaidiane. kitu ambacho mwenyewe anaweza kujisaidia kwa nini tumsaidie sisi.
sharobalo amemsaidia kwa kumwambie a-google.
naye kama hajui nini ku-google basi ndio tumsaidie zaidi
mbona sioni jibu baya. yote ni majibu na yote yanafaida
nionavyo mie, it is the lowest level a member of this forum can go but is acceptable
 
Back
Top Bottom