Flyover ya Ubungo ya kishamba sana

south kote huko tena kuna wazungu,waende hapo kenya,ghana au angola
 
hebu nenda kajenge ya kwako kijijini kwenu hebu tuachie hii ya yetu ya ubungo tunaipenda sanaaa ilivyo
 
Vipi kuhusu gharama
 
Lengo la kuu la flyover ya Ubungo ni kupunguza foleni? Sasa wewe mleta mada hebu tueleze kile kinachojengwa Ubungo sasa hivi hakitafanikisha lengo?
 
Tofautisha kati ya RING ROADS na FLY OVERS dogo, Hata south Africa unakosema fly over kama za ubungo zipo nyingi hizo unazosema wewe kwa cape town ipo kule karibu unaingia air port, ndo nnayoifahamu mimi
 

Una uhakika kuwa ulichokiona hapo Ubungo Mataa na unachokizungumzia hapa ' Kiutalaam ' kabisa kinaitwa ' Flyover ' Mkuu?
 
Kuna siku nilikosea sehemu ya kukaa mara mbili hapo daraja la mfugale, ikanilazimu kwenda kuanza upya. sasa kwa haka ka flyover ka ubungo kuna hatari ya kwenda kuibukia tandale ukishabugi step wakati ulitakiwa kwenda bunju.
 
Wasiwasi wangu ni nafasi kati ya flyover na barabara ya chini naona kama ni ndogo sana.
 
We mtoa mada ndo mshamba. Unahisi flyovers zipo za aina moja? Zipo za aina nyingi na hiyo ya Ubungo ni aina moja wapo. Sio lazima zote zifanane.
Hata ukienda Tokyo, Seoul nk utaona zipo za aina nyingi na sio aina moja tu.

Asiyejua maana usimwambie maana, achana nae huyo bwege. Yeye anafikiri ujenzi ni sawa na upishi wa wali maharage kwamba vyote vinafanana..
 
Kuna tofauti gani kati ya fly-over na interchange?
 
hvi kweli mtu mzima unakuja kulalamika flyover sjui hazijazunguka kama nyoka kweli???

Yaani ndio utuone sisi waswahili tulivyo na akili za chuki.. haangalii namna itakavyofanya kazi yake iliyokusudiwa bali anataka ifanane na nyoka.
Watu wengine hovyo kabisa.
 
Budget mkuu. Na sisi hata ukienda masaki nyumba zinatafautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wewe ndio kichaa kabisa yani. Sasa kuna haja gani ya kujenga flyover halafu magari yanayokwenda kila upande yakakutane sehemu moja? Si bora yabaki hukuhuku chini kama zamani yaendelee kupishana..
Hivi unajua sababu ya ujenzi wa flyovers/interchanges?
Hebu kasome kwanza ujue madhumuni ya ujenzi wa hizo kitu then uje tena
 
labda wameogopa watu kupotea njia
 
Yàni hata pale njia panda ya kuelekea kwenye daraja la kigamboni pamejengwa vizuri kuliko haya matuta ya mfugale na ubungo..tatizo kubwa anaetoa maamuzi hua hasafiri hivyo exposure ni 0
Yaap!... Interchange ya Kigamboni iko kwenye kiwango cha kimataifa ingawa haivumi sana.
 
Mbona wewe ni mjinga kiasi hiki? Kwa hiyo Shida yako wewe ni kupita juu?

Ile inatengezwa kuondoa foleni pale ubungo, siyo kwa ajili ya kufurahisha watu kupita juu!

Kwani kama hupiti juu lakini hukai kwenye foreni shida iko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…