Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.
Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.