Flyover ya Ubungo ya kishamba sana

Flyover ya Ubungo ya kishamba sana

Mfia nchi

Member
Joined
Jul 18, 2019
Posts
90
Reaction score
167
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka kama nyoka? Mie nilidhani daraja la Mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena.

Waende basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka Kama nyoka? Mie nilidhani daraja la mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena. Waende Basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Yàni hata pale njia panda ya kuelekea kwenye daraja la kigamboni pamejengwa vizuri kuliko haya matuta ya mfugale na ubungo..tatizo kubwa anaetoa maamuzi hua hasafiri hivyo exposure ni 0
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka Kama nyoka? Mie nilidhani daraja la mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena. Waende Basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
Ulitaka wajenge vipi???? Usilazimishe kupaa wakati uwezo wako ni kutambaa.
🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ilitakiwa mtu akiwa anatoka upande wowote aweze kupita juu kama yupo speed na aelekee uelekeo wowote anaoutaka na akijichanganya tu ajikute ametokea siko na sio tu mtu anayetoka kimara au mjini/ Buguruni au Mwenge ndio apite juu. Ilitakiwa kupita barabara ya chini iwe ni choice ya mtu na sio kulazimishwa na njia.
 
Hivi ndio kusema hawa viongozi wetu wanapotembelea nchi za wenzetu huwa hawapiti barabarani na kuziona hizo flyover za wenzetu zilivyozunguka Kama nyoka? Mie nilidhani daraja la mfugale walilijenga hivyo kutokana na ufinyu wa nafasi lakini nashangaa hadi interchange ya Ubungo nayo inajengwa kishamba tena. Waende Basi hata hapo South Africa wakaone jinsi mizunguko ya flyover ilivyozungushwa.
hivi si tangia kaingia madarakani si kaenda kigali tu hayo mambo ya kwa ramafosa atayajuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna taharifa kwamba hii kitu ilibadilishwa kimyakimya ..ilitakiwa kuwa hivi
maxresdefault.jpg
 
kuna taharifa kwamba hii kitu ilibadilishwa kimyakimya ..ilitakiwa kuwa hivi
Hii imekaa poa japo sio sana maana kwa hapo juu ingeleta jam. Mzunguko murua hautakiwi kuwa na njiapanda, yaani ukikanyaga flayover unazunguka na kwenda kutokomea uelekeo unaoutaka bila kukutana na gari yoyote, na ukikosea tu lane yako unajikuta umetokezea Mwenge wakati ulikuwa unaenda Buguruni.
 
kw
Hii imekaa poa japo sio sana maana kwa hapo juu ingeleta jam. Mzunguko murua hautakiwi kuwa na njiapanda, yaani ukikanyaga flayover unazunguka na kwenda kutokomea uelekeo unaoutaka bila kukutana na gari yoyote, na ukikosea tu lane yako unajikuta umetokezea Mwenge wakati ulikuwa unaenda Buguruni.
kwel hii ilikua nzuri kuliko hiyo wanayojenga
 
Back
Top Bottom