Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Khaaaaa!ngoja nimuulize darling wangu maana yeye wakati wote iwe cha asubuhi,cha mchana au cha ucku nilzm aende huko lol!naenjoy je!
Yaani lazima aende Uvinza au ?
Khaaaaa!ngoja nimuulize darling wangu maana yeye wakati wote iwe cha asubuhi,cha mchana au cha ucku nilzm aende huko lol!naenjoy je!
Wife acha basi mzaha,
jukwaa likajua bado hatujatengeneza kabisa ?
Mimi nalifahamisha jukwaa tulishatengeneza wetu, kabla ya siku ya kiapo! Na kilichosababisha iwe hivyo ni ule msimu wa baridi.
Maadamu sina taarifa yeyote ya labda ulipata Miscarriage, so far mi nasubiri mwanangu.
Kama ulifanya utundu ukamtohoa nambie , nianzishe michemko mipya .
Hebu nikumbushe hako katumbo kana moon wa ngapi sasa ?
lawyer nimepata salamu, si unajua na mie nipo maternity ward. Lol.Dah! acheni nilog out warembo.
Msalimieni Husninyo akikuja.
Yaani lazima aende Uvinza au ?
Swadakta kbs!
yani we acha tu, unajua alhamis nilienda kumsalimia Flora wakati najiandaa kuondoka ikabast tair ya gari ilikua inajazwa upepo jirani kbs na tulipokua tumesimama, nikashtuka sana badae nikawasha gari kurudi kwangu, nilipofika tu km dakika 5 nikaanza kujiskia vibaya nikakibizwa KCMC nikalazwa, j. Mosi Flora akaja kunisalimia tukawa tunapiga stori ghafla akaanza kuumwa na jumapili tar18.3 ambapo ilikua ni birthday yangu Flora akajifungua, NAJISKIA FURAHA SANA.umepata birthday-mate!...hongereni sana!
arrrrooo unanshushia hazi,akae nani mandazi rodi labda bwanako rejao.bangalo lako lilikuwa mandazi lodi, umelihamishia wapi?
hako kamkono hako,kananizengua na leo kameniharibia brekfasti,kha katoe bana.hapo anaishi papaa msoffe
hongera fm kwa kuleta kiumbe kipya hapa duniani. Hongera am dada yako kujifungua salama.
warning:
wote mnaochakachua thread muhimu ya kumpongeza mzazi,nyie kina Canta,Judgement,Husn,Kongosho,Kaba na genge lenu nitawapiga PI!
Ni jambo la kumshukuru Mwenyez Mungu kwani dada yangu na mwana jf mwenzetu FLORA MSOFFE amejifungua mtoto wa kike leo sa 7 mchana katika hosp. Ya KCMC, tusherekee kwa pamoja.