Floating in dead sea

Floating in dead sea

Bukayo jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
2,782
Reaction score
1,647
dead-sea-reading.jpg
 
Bahari ina chumvi mara 8 zaidi ya Bahari za kawaida.......hawakai samaki wala viumbe humo
 
Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?
 
Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?

ni rahisi kuliko hata kunya
 
hivi ukijaaza magunia ya chumvi kwenye swimming pool unaweza kuelea.
 
Back
Top Bottom