Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?
Napenda sana maji ila zoezi la ku float lilinishinda, kila nikijiachia napiga samasoti daah nikaona na mbeep israeli nikaachana na zoezi hilo.
Hiyo chumvi haina madhara kwa bin adam kama viumbe wengine hakuna? Au ni dawa ya ngozi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.