Hivi ilipitia upande wa pili au iliruka kupitia nchi za waarab??Non-stop flight kutoka Shanghai kwenda San Francisco ni muda wa saa 11 na dakika 05,wakati Shanghai ipo mbele kwa saa 08 GMT sawa na saa 16 tofauti yake na San Francisco CA.
Mkuu angalia picha ya ndege na umeambiwa ni Boeing 787 serial 900Ni Bombadier Q ngapi hio?
Sasa iliwezekana vp wao kuondoka 2017 na kufika 2016? Au ni uzushi?Daaah, hiyo geography yapi mkuu yani ndege izidi speed ya dunia
hakuna ndege ya abiria inayozidi speed ya dunia inajizungusha kwenye mhimili wake
Na vile vile sidhani kama kuna chombo kimetengenezwa na binadamu ambacho kinazidi speed ya dunia kulizunguka jua ambayo ni zaidi ya kilometa 100,000 kwa saa
Wamepunguza (lost)....wamerudi nyuma ya mudaKimsingi hao abiria wameongeza siku moja ama masaa ndani ya siku katika mwaka wao!...
Ni longitude...kiufupi nchi zilizo magharib huwa nyuma kimasaa kuliko zilizo mashariki,mambo ya latitude hayo, marekani (San Francisco ) ipo magharibi zaidi kadhalika China (Shanghai) ipo mashariki sana, hivyo basi ndege ikitoka China kuelekea Marekani itegemee kukuta muda mkubwa ambao ulishatumika pindi ipo china, kama ni tarehe 08 ulishaitumia China tegemea kuikuta America. jamaa alikuwa sahihi kabisa
Siku ilichange baada ya kupita tu international date line...Ndege ilikua inaelekea mbele wakati Kalenda/time ikirudi nyuma!! Wakati wapo angani masaa yalikua yanarudi nyuma badala ya kwenda mbele!!
Hata mimi nilitoka Manyovu Kigoma kwa kwa gari saa 6.01 usiku mwaka 2017 Nikafika Burundi mwaka 2016.
Wenye maeneo makubwa waiuzie kusudi iweze kuzalisha chakula ambacho kitaweza kutumika kwa wahanga wa njaa........ha ha! tufanyaje sasa..? maana wanamiliki ardhi yakutosha!
Kutoka China kwenda San Francisco they fly to the east, na kutoka San Francisco CA kwenda China they fly to the west.Hivi ilipitia upande wa pili au iliruka kupitia nchi za waarab??
Suala sio pangaboi ila ni tofauti ya masaa kijiografia. Mfano Tanzani na Burundi tunapishana saa 1 wakati Tz ni saa 6 usiku Burundi inakuwa saa 5. Hivyo mtu anaweza kuukaribisha mwaka mpya akiwa Tz saa 6.01 usiku halafu akatoka kwenda Burundi na kufika kule saa 5.50 akakuta baado hawajaingia mwaka mpya akaupokea pamoja nao tena saa 6.00.01 wakati huo Tz itakuwa saa 7 usikuItakuwa ni pangaboi iyo
Speed ya dunia ni 1670 km/ hr.. hata ndege ingelikuwa inakwenda 1000km/hr.... kitu kama hicho kingeweza kuwa achieved....Mi nilichoelewa ni kwamba, mzunguko wa dunia, una spidi ndogo kuliko ndege, ndiyo maaana ndege iliipita tarehe husika na kufika mahala ambapo siku haijabadilika, bado pana tarwhe ya jana, kwa kule ndege ilikotoka
Mkuu soma thread #55... hope unaweza ukapa concept.Daaah, hiyo geography yapi mkuu yani ndege izidi speed ya dunia
hakuna ndege ya abiria inayozidi speed ya dunia inajizungusha kwenye mhimili wake
Na vile vile sidhani kama kuna chombo kimetengenezwa na binadamu ambacho kinazidi speed ya dunia kulizunguka jua ambayo ni zaidi ya kilometa 100,000 kwa saa
Unafahamu kwa sasa hivi Tanzania ni saa kumi na dakika tano jioni (04:05PM) Na New York Marekani ni saa mbili na dakika tano asubuhi 08:05AM ......Think outside the box jombaaSasa iliwezekana vp wao kuondoka 2017 na kufika 2016? Au ni uzushi?
Means wanatumia upande wa pili, kwa nyuma ya globe kwa tafsiri yangu!!Kutoka China kwenda San Francisco they fly to the east, na kutoka San Francisco CA kwenda China they fly to the west.
tena kweli hata hapo iko hivo si tunatofautiana saa nzima?hah hah we ulikuwa hapa mnanila nn
Sawa kabisa.Means wanatumia upande wa pili, kwa nyuma ya globe kwa tafsiri yangu!!