barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Sasa hao abiria wameuona mwaka mara mbili, duh!
Soma tena.Ni Bombadier Q ngapi hio?
Na watakuwa walifanya makusudi hiyo flight na booking ilifanywa long time before, na mpunga kampuni imepiga kwa tiketi za flight hiyo. Yaani hapo watu walipiga hesabu zao wakaona inawezekana basi wakapanga flight.Ni kwa njia hii tu unaweza kurudisha muda nyuma kwa msingi wa hesabu za kalenda!...
Pia imeipa umaarufu zaidi hiyo Kampuni ya ndege,ni kama aina fulani ya commercial advertisement,ubunifu mzuri sana,hongera zao,watu wanaona mbali sana aisee!!Na watakuwa walifanya makusudi hiyo flight na booking ilifanywa long time before, na mpunga kampuni imepiga kwa tiketi za flight hiyo. Yaani hapo watu walipiga hesabu zao wakaona inawezekana basi wakapanga flight.
Soma tena.
Ukisema wanaona mbali inakua haijakaa poa kidogo kwa sababu siyo shirika la ndege la kwanza kufanya hivyo ni kitu ambacho kipo kwa muda mrefu sana na mashirika mengi ya ndege huwa yanafanya hivyo..Inaitwa Back from the future...On January 1st 2016 Hawaiian Airlines flight 458 left Tokyo at ten past midnight. Happy New Year! When it landed, the local time in Honolulu was 11:25AM... December 31st, 2015..Kwa mfano kungekua na flight ya moja kwa moja tokea Tanzania kwenda UK na hiyo ndege ikatumia masaa mawili kwa vile Bongo na UK kipindi hichi tuko mbele kwa masaa matatu unaweza ukala mwaka mpya bongo ukamaliza ukapanda ndege ukafika UK ukasubiria saa nyingine moja ushehereke mwaka mpya kwa mara ya pili.Pia imeipa umaarufu zaidi hiyo Kampuni ya ndege,ni kama aina fulani ya commercial advertisement,ubunifu mzuri sana,hongera zao,watu wanaona mbali sana aisee!!
Achana na bavicha huyo.Mkuu hata kusoma hujui.? Au
Maelezo yamesema Boeing 787-900.
Na ka picha ukawekewa we bado unasema panga boi. Duhhhh
ha ha! tufanyaje sasa..? maana wanamiliki ardhi yakutosha!S.e.r.i.k.a.l.i h.a.i.n.a s.h.a.m.b.a
masaa 17 + kutoka Dubai hadi Marekani. mwaka gani huo na ilikuwa ndege ya aina gani na jimbo gani ulikwenda. mbona saa nyingi mno.Hapana, not one way. Tulikuwa na connection Dubai. Na hiyo badiliko ya mwanga na giza sehemu moja ilikuwa kutoka Dubai hadi Marekani ambapo ilichukua masaa 17+ angani.
Ndege za ER