Flat screen zenye internal receiver

Mosiwakaya

Senior Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
185
Reaction score
35
Habar zenu waungwana..

Nahitaji kununua flat screen yenye internal receiver, yaan ambayo naweza kuitumia kupata channel za bure bila kutumia king'amuzi ,
Nawaomben ushauri aina ipi itakuwa nzuri zaid na imara..
 
SAMSUNG ya inchi 32 ni bomba. Hutajuta.
 
Jipange tu. samsung 32'' au 40'' ziko poa
 
Vp kuhusu hz kodteck inchi nilizikuta duka flan hv jamaa anasema znashka mpaka channel 24 za bure, kuna mwenye uzoefu na hz kodtech hapa atujuze?j
 
kwa vijijini sifahamu mie natumia Samsung led tv inch 32 ipo vizuri sana ninachannel karibu 200 na ninatumia antena ya kawaida tu.

hiyo naona iko vzr ila hapo nafikiri inatakiwa kujipanga vzr kimfuko binamutz
 
Last edited by a moderator:
jamani mbona me ninayo hii tv yenye kingamuzi ndani lakini kila nikisach nakuta channel zote zimefungwa na kikufuli ...au kuna utaalam wa kuzifungua??
 
Smart tv lk6 wapi wp? Mm Nahuatl inch 32 ni2,m

Usikurupuke soma mjadala vizuri uelewe... Wapi pamezungumziwa Smart TV? Ameuliza kuhusu Flat Screen yenye internal receiver.
 
jamani mbona me ninayo hii tv yenye kingamuzi ndani lakini kila nikisach nakuta channel zote zimefungwa na kikufuli ...au kuna utaalam wa kuzifungua??

hakuna utaalamu wa kuifungua nikusearch upya zitakuja upo wapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…