farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 526
- 575
Duuuuuh mlikuwa mna raha kweli kweliKwenda kuiba ndizi na maparachichi after classes.. Haha...boarding kila Saa unaskia njaa..duka linafunguliwa jmosi tuu..
2.Kuruka dirishani na kuingia lab usiku ili tu kutumia internet...computer yenyewe moja na tulikua watu wanne.
3.Kuagiza chips nje ya shule kwenye matobo ya ukuta...(watu wa vijijini waaminifu unakaa kwenye tobo unaita tu na chips unaletewa.)
Kibosho girls class of 2008