nikajua mwijaku
nikajua mwijaku
kitu cha kwanza unacho takiwa ujue mziki sio plugin..unaweza kuwa na plugin hata buku na ukatoa madesa...Kama mimi kwenye upande wa mixing huwa natumia stock plugin na waves tu lakin madude nnayo yatoa ni balaa. cha msingi kula sana msuli kwenye mziki hakuna shortcut lazima ujue vitu vinafanyaje kazi...alafu kama unatumia sabufa kutengeneza mziki acha kabisa hahahahahaha
nazungumzia kwa beginer. mtu anayeanza simshauli sana atumie sabufa bora achukue production headphon mana kutengeneza mziki kwenye sabufa na ukatoka vizuri inaitaji hesabu kali sana kwa maana ya settings zilizo simama..., lazima uwe pro kutoa mziki mzuli kwenye sabufaSabufa sio ishu..ema the boy mwanangu sana.. nishawai kumuona mara kibao akifanya mixing na mastering kwa kufata hesabu tu.. ukijua hesabu za mziki hata bila spika special unatengeneza mziki na unafanya mixing na mastering kali
ukiwa unatengeneza mziki kwenye sabufa ile mikito huwa inanoga sana..shida inakuja ushamaliza kutengeneza ngoma yako itoe sasa ipeleke kwenye device nyingine ndo unakuja kukuta snare zinalia Kama vibati vya singeliKichenza mi natumia speaker ndogo za Kodtek au headphones za weile, but beat kwa subwoofer ina sound good kusikiliza uki plug out na kuisikia hivi hivi plain inakuwa ya ovyo mno . By the way thanks for your advice
Kichenza bwana Chuki_beatz nilimfuatilia video yake moja ya ku 'record' vocal kwenye Fl aisee yupo na mambo mengi mno hataki kutoa details complete sijui ile video aliitoa akiwa na hype maana alikuwa anakenua kuonesha golden slug tu . By the way he is good
hahaaa mzee wewe utakuwa S2 kizzynikajua mwijaku
ni za kuagiza au hata bongo zipi.yamaha hs8 ndo latest version?uwe na bajet kama milioni hiv na kuendelea inategemeana unataka version ipi...mfano Kama Yamaha hs8 nikama milioni na nusu hivi
FL is tricky ina mavitu mengi ila cheza nayo tu ukiizoea utakuwa freshiNawapa hi! members wote wa Jf hasa wana "Entertainment", matumaini yangu muwazima wa afya kabisa kwa wale waliokumbwa na matatizo hapa karibuni hasa hasa moto wa eneo la Kariakoo na matatizo mengine nawaombea kwa m/Mungu awasimamishe tena.
Naomba niende kwenye hoja moja kwa moja, kwa hivi karibuni nimeanza kutumia software ya kutengeneza beats ya FL Studio, kabla ya kuanza nilianza kupitia pitia Tutorial YouTube ili kupata moja mbili na baadhi ya basics.
Nili dedicate muda kiasi chake lakini naona kama mambo hayaendi (my beats aren 't that good ), nilijitahidi kuanza na music theory baada ya kuona mambo ni mengi mno. Nilikuwa napenda sana kutengeneza beats za trap na RnB lakini kwa sasa ninazoweza kuzitengeneza ni za trap na trap soul peke yake.
Channel niliyokuwa natumia kujifunzia ni BusyWorksBeats kwakuwa ni mtu wa kwanza aliyekuwa anafundisha niliyekuwa namuelewa ingawa nilikuwa dummy/beginner 😂😂😂😂.
Nna Plugins zaidi ya 20 za FL Studio lakini najiona nashindwa kuendelea. Kama wewe ni mdau wa muziki nilikuwa naomba mchango wako ni jinsi gani naweza kuendelea nakuwa pro one day😋😋
LipoTengenezeni Group la watsap la Begginers na pro tupeane ujanja
kitu cha kwanza unacho takiwa ujue mziki sio plugin..unaweza kuwa na plugin hata buku na ukatoa madesa...Kama mimi kwenye upande wa mixing huwa natumia stock plugin na waves tu lakin madude nnayo yatoa ni balaa. cha msingi kula sana msuli kwenye mziki hakuna shortcut lazima ujue vitu vinafanyaje kazi...alafu kama unatumia sabufa kutengeneza mziki acha kabisa hahahahahah