Fitina za ATCL? Precision Air yahamishia base yake KIA

Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea haya
Tungoje waende Mumbai na kurudi tutajua ndege ya abiria 262 imekwenda na wangapi na imerudi na wangapi. Mimi najiuliza wanakwenda kufanya nini wote hao na wa kuja wanafuata nini Dar?
 
Back
Top Bottom