simu ya mezani
Member
- May 9, 2019
- 19
- 34
Fitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.
Hakuna jiwe litabakia bila kugeuzwa.Fitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.
Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea hayaFitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.
Tungoje waende Mumbai na kurudi tutajua ndege ya abiria 262 imekwenda na wangapi na imerudi na wangapi. Mimi najiuliza wanakwenda kufanya nini wote hao na wa kuja wanafuata nini Dar?Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea haya
Precision ndo ilikuwa na abilia wawili au ATCL?Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea haya
Precision ndo ilikuwa na abilia wawili au ATCL?
Wacha wahame walituumiza sana enzi zaoFitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.
Precision Air. Na naskia zakunyapia mtumishi ukipanda ndege tofauti na ATCL utakionaPrecision ndo ilikuwa na abilia wawili au ATCL?
Labda ilikuwa siku ya pasaka ambayo watu wengi huwa hawasafiri.Hiyo route ya Dar-Mwz-BKB ndiyo ina abiria wengi kuliko maelezo.Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea haya
Hata mimi nimejiulizaPrecision ndo ilikuwa na abilia wawili au ATCL?
BK-MwanzaLabda ilikuwa siku ya pasaka ambayo watu wengi huwa hawasafiri.Hiyo route ya Dar-Mwz-BKB ndiyo ina abiria wengi kuliko maelezo.
Kule Mbeya Rose Mboma alikamatwa.Precision ndo ilikuwa na abilia wawili au ATCL?
Ottoman Empire (Sultan)Mkurugenzí wa mamlaka ya viwanja vya ndege ampelekè majina sultan ya watmishi wote wa serikali wanaopanda ndege ţofauti na Air Tz
Fitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.