Fitina za ATCL? Precision Air yahamishia base yake KIA

Fitina za ATCL? Precision Air yahamishia base yake KIA

Mwezi April ndugu yangu nilimpokea Airport kutoka Bukoba, aliniambia walikuwa abiria wawili ndani na Rubani na wafanyakazi. Toka siku hiyo niliyategemea haya
Wanafanya fitina kwa washindani wao na matokeo yake tunapandishiwa nauli kwa kukosa option
 
Tungoje waende Mumbai na kurudi tutajua ndege ya abiria 262 imekwenda na wangapi na imerudi na wangapi. Mimi najiuliza wanakwenda kufanya nini wote hao na wa kuja wanafuata nini Dar?
Wakitaka wawapige zengwe na Ethiopia wasilete ndege zao huku
 
huyu mhutu hakuna mtanzania anapenda anufaike..
madaraja na madege is just 'political legacy'
anatunyang'anya hela zetu za chakula anazipeleka kwenye mawe na mabati akiwa na uhakika hamtoingiza hata mia kwenye hilo !
Hutu are not our friends !
 
Hakuna jiwe litabakia bila kugeuzwa.
Ukiona mambo yako yanakua magumu awamu hii jua kabisa ulikua mpiga dili[emoji23]

Kila biashara ikifa eti ilikua wapiga dili...

Aisee acheni umang'aaa!

Bandubandu huisha gogo!

Siku mnashangaa uchumi wote unaanguka ndio mtastuka anae wadanganya na "wapiga dili" alikua anawapotezea muda maana anajua hamjui kufikiri!

Punguani kabisa!
 
Kila biashara ikifa eti ilikua wapiga dili...

Aisee acheni umang'aaa!

Bandubandu huisha gogo!

Siku mnashangaa uchumi wote unaanguka ndio mtastuka anae wadanganya na "wapiga dili" alikua anawapotezea muda maana anajua hamjui kufikiri!

Punguani kabisa!
Soma vizuri post yangu
Uache mihemuko
 
Soma vizuri post yangu
Uache mihemuko
Nimejibu comment yako mzee kama ilivyo..

Umesema ukiona mambo yako yanakua mabaya awamu hii eti ujue ulikua mpiga dili..

Such a nonsensical way of thinking..

Mpaka uchumi wote uanguke ndio mtaamini ahaa kumbe hii sababu eti walikua wapiga dili ilikua ni wrong assumption..

Endeleeni kujidanganya tu....

Biashara zinakufa kweli,seriously!

Halafu mwenye mihemuko ni mama yako mzazi...mbuzi mee wewe!
 
Nimejibu comment yako mzee kama ilivyo..

Umesema ukiona mambo yako yanakua mabaya awamu hii eti ujue ulikua mpiga dili..

Such a nonsensical way of thinking..

Mpaka uchumi wote uanguke ndio mtaamini ahaa kumbe hii sababu eti walikua wapiga dili ilikua ni wrong assumption..

Endeleeni kujidanganya tu....

Biashara zinakufa kweli,seriously!

Halafu mwenye mihemuko ni mama yako mzazi...mbuzi mee wewe!
Bado huelewi
Utasoma tena utarudia tena kama hauko makini bado hutaelewa.
Mwisho wa siku utakuja kuni-attack kwa mihemuko.
Rudi usome tena
 
Hivi yule mmiliki 'uchwara' wa fastjet bwn Masha yuko wapi?
 
Wewe sio mtu msitaarab mpaka dakika hii.
Wewe ndio mstaarabu kuita watu wana "Mihemuko"?

You think there will be no retaliation?

Think again!
Habari za mama yangu na baba yangu zimekujaje hapa?
Unaamka asubuhi na kuanza kubatiza watu majina eti "mihemuko"

Thats what'chu get!

You touch mines,I get at'chu like a rockwilder!
Narudia hukunielewa tangu ulipoanza kuni-quote post yangu ya kwanza, kama ulielewa basi ile emoji ya kucheka hukuiona na kama hukuiona maana yake hukuelewa.
Sikukuelewa umesema wewe....

Cha maana kama kweli wewe ni mstaarabu kama unavyojinasibu hapa,ungeelewesha sio unaanza kuita watu 'mihemuko' which is offensive!
Ni vema utathimini uelewa wako, jipime mwenyewe kwanza kama kweli unaelewa au unaenda kwa mihemuko.
Usipende kulaumu watu kwa sababu ya ujinga wako mwenyewe.
Ningekua mjinga usingenijibu!

Na-make sense kwako ndio maana umenijibu!

Mengine unayosema ni nonsense tupu....

So,fvck what'chu think,whatever you think of my replies thats on you,I can't help you!
 
huyu mhutu hakuna mtanzania anapenda anufaike..
madaraja na madege is just 'political legacy'
anatunyang'anya hela zetu za chakula anazipeleka kwenye mawe na mabati akiwa na uhakika hamtoingiza hata mia kwenye hilo !
Hutu are not our friends !
Usitumie kabila la watu kutukania siyo ustaarabu. Kwanza Tanzania kuwa mhutu, mtwa, mtusi, mutwale, mgogo, mhaya, mchaga, msafwa, nk; Haionyeshi kwamba wewe ni bora au siyo bora! Tumia maneno mengine. Sisi we have overgrown those kind of issues. Pia baada ya uchaguzi 2020 tutaacha kutumia vyama kama tusi-kwa mfano, kuwaita watu Machadema, maCCM, nyumbu etc. Tutakuwa tumekomaa.
 
Back
Top Bottom