Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wajameni naomba kufafanuliwa hili neno FISADI! hapo nyuma tumesikia kua ufisadi ni ubadhirifu wa mali za umma au kujilimbikizia mali kwa njia isiyo halali, lakini hapa karibuni tumemsikia mkubwa mmoja pale Dodoma akidai kua anavyoelewa yeye FISADI ni mtu anayechukua wake za watu jamani naombeni maana ya neno kamili kuhusu FISADI au UFISADI!:help: