Fisadi Mkuu wa Richmond yuko CHADEMA au yuko CCM?

Fisadi Mkuu wa Richmond yuko CHADEMA au yuko CCM?

Hata tukijadili ,tukasema, tukahandama na mabago nani fisadi inshort kwa taifa kama hili la wanyonge hamna kitu dhidi yake utapingwa makofi na marungu tu.tanzania bado sana kuwakamata mafisadi mahana system hipo kila sehemu makazini uswahili kwenye serikali za mitaaa mahospitalini
 
Habari Wakuu?

Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.

Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.

Swali la kujiuliza, je,

1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?

So far ripoti ya Mwakyembe na matokeo yake, ndio jibu la swali lako.
 
Lissu alisema pale Morogoro kwamba Kikwete akiendelea kusema tena fisadi wa Richmond anatembea naye, basi ajiandae kutolea ushahidi baada ya 25 October. Ila sijamsikia mkuu akiendelea tena sijui anaogopa kuthibitisha baada ya kutoka madarakani.😀
 
utata uko wapi wakati fisadi papa ni Lowasa kila mtu anajua bayana kuwa Lowasa ndiyo mwamba wa ufisadi.


Amesema mwenye ushahidi atangulie mahakamani mbona hauendi?
 
Natamani hizi nondo zako mkuu ukawa wangezitumia tare 22oct tuwamalize kabisa wafunge midomo, ni maswali ya msingi sana unapojadili kuhusu richmond, Ukawa tumieni hii nondo tar22octb tukachukue ikulu kirahisi....

Chadema haijawahi kuwa na serikali kwahiyo kusema mwenye Richmond yupo chadema au ccm sio sahihi inaeleweka Richmond ni ya serikali ambayo kwa sasa na wakati huo ni ya ccm.
 
Habari Wakuu?

Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.

Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.

Swali la kujiuliza, je,

1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?

DR JAKAYA Mbona alishamaliza hili ... alisema mwenye richmond mbona tundu lisu anatembea naye
 
DR JAKAYA Mbona alishamaliza hili ... alisema mwenye richmond mbona tundu lisu anatembea naye

Ilikuwa na haja gani Amiri Jeshi Mkuu, Kiongozi Mkuu wa nchi kutumia mafumbo badala ya kumtaja jina? Kumbuka Lisu anatembea na watu wengi.
 
Swali lingine kabla sijasahau: kwanini alimuuzia Kabura mpenzi wake nyuma za Umma wakati hakuwa mtumishi wa Umma? Je huo si Ufisadi? Na yupo tayari kutuomba Radhi?

Ninyi Twaweza msipouliza haya Maswali huu mdahalo hauna maana.

Au mpeni Tido Mhando kazi hii
 
LOWASSA alisema aliye juu kwa maana ya rais alizuia mkataba kuvunja
lowassa alijiuzuli na mitambo haikutaifishwa kama lilivyokuwa pendekezo la bunge.
lowassa amehama ccm na bado hajashtakiwa na sisi tujuavyo ukihama ccm umejifungulia uozo wako ushtakike.....

JIBU:FISADI MKUU NI.....hahah hahah
 
Hivi kuna siku Lowasa ametoa maelezo ya kina kuhusu richmond zaidi sana Sumaye ndio anamsafisha kana kwamba mwenyewe kafa! asimame atuonyeshe hayo maelekezo aliyopata toka juu aache usanii wa kudekiwa barabara. Lowasa ni ukoo wa panya.
 
Habari Wakuu?

Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.

Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.

Swali la kujiuliza, je,

1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?

Mmiliki wa Richmond yuko Magogoni
 
ripoti ya mwakyembe haijamtaja fisadi wa richmond
huyu mwakyembe ametuangusha sana kwa kushindwa kuja na kazi critical

Ripoti ya Mwakyembe ilimwambia Lowasa ajipime kama bado anatosha kuwa waziri mkuu,na bahati nzuri alijipima akaona hatoshi na aka kaa pembeni.
 
Hivi kuna siku Lowasa ametoa maelezo ya kina kuhusu richmond zaidi sana Sumaye ndio anamsafisha kana kwamba mwenyewe kafa! asimame atuonyeshe hayo maelekezo aliyopata toka juu aache usanii wa kudekiwa barabara. Lowasa ni ukoo wa panya.
maelezo ya kina ni kumtaja na siku alipokaribishwa na kutambulishwa kwa waandishi wa habari alimtaja, aliyetajwa mpaka leo hajakana
 
Back
Top Bottom