fisadi papa ni LOWASA mwizi wa kutupa.
utata uko wapi wakati fisadi papa ni Lowasa kila mtu anajua bayana kuwa Lowasa ndiyo mwamba wa ufisadi.
Jibu raisi sana,wala huitaji kufikiri,ata mtoto wa la pili anajua,hata mama ntilie na boda boda wanajua,NI LOWASA ambaye yupo Chadema
utata uko wapi wakati fisadi papa ni Lowasa kila mtu anajua bayana kuwa Lowasa ndiyo mwamba wa ufisadi.
Habari Wakuu?
Bado kuna utata uliojificha kuhusu nani aliruhusu kupitishwa/kusainiwa Mkataba mbovu wa Kampuni ya Kuzalisha umeme ya Richmond.
Kitendawili hiki tulitegemea kuwa kitateguliwa msimu huu wa kueleka Uchaguzi Mkuu 25-Oct-2015 hasa baada ya Lowassa kuihama CCM na kupewa ridhaa ya kugombea Urais kupitia Chadema/UKAWA.
Mpaka sasa haijafahamika ni nani alikuwa Mmiliki halali wa hii Kampuni kwa kutajwa jina bali imebakia kuwa mafumbo, mmoja akisema Mamlaka ya juu ndiyo yaliyoruhusu na mwingine akisema ni yule anayeongozana na Lissu kwenye Mikutano ya Kampeini huku wote wakikwepa kutaja majina.
Swali la kujiuliza, je,
1. Hawa watu wanajuana na wameamua kulindana?
2. Walishirikiana kwenye huu ufisadi?
angekuwa hayupo ndani ya system ya chama dola angekwisha pelekwa mahala stahiki, lakini ukiona linautata mpaka leo na mkuu ametajwa na hakuna hata aliye fikishwa kwa mashtaka, ujue mmmhh hapo pana mnuso wa mkuu, mana mbona upande wa chadema viongozi washapelekwa sana mahakamani kwa vikesi visivyo na msingi?
Kwa hali ilivyo ufisadi wa richmond cha mtoto, kuna hii kitu ya kinyelezi. Eti mtambo kwa kuchakata gesi ni wa mtu binafsi! Gesi ya mtwara pia ni mtu binafsi, serikali itaambulia kodi tu! Wajameni TZ yetu.kwa mawazo yetu sisi kina gogo la shamba kwamba mwenye hilo dili ni mkuu wa nchi ndio maana kila mtu anaogopa kumtaja lakini ingekuwa ni ni mtu wa kawaida angeshatajwa
Sasa hivi mambo ya kutuambia mtu fisadi halafu baadaye ndiyo mnakuja kutuletea na kutuambia ndiye ataleta mabadiliko mtu huyohuyo,mi nafikiri wananchi wanaojitambua hawatofanyiwa upumbavu tena.
Sasa hivi mambo ya kutuambia mtu fisadi halafu baadaye ndiyo mnakuja kutuletea na kutuambia ndiye ataleta mabadiliko mtu huyohuyo,mi nafikiri wananchi wanaojitambua hawatofanyiwa upumbavu tena.