kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
Hivi kuna watu mpaka sasa wanaamini Lowassa ni fisadi na si serikali ya ccm iliyo fisadi.
hebu jaribu kupata majibu ya maswali haya alafu utafakari na ufanye uamuzi sahihi.
1. Lowassa alitaka kuvunja mkataba wa richmond Rais akamzuia, je kwanini?
2. kamati ya mwakyembe ilisema waziri mkuu ajiuzuru ili serikali isianguke, kikatiba waziri mkuu anapo jiuzuru lazima serikali (mawaziri) wafutwe na rais aunde baraza jipya. je ni serikali ipi alimaanisha isivunjike baada ya Lowasa kujiuzuru?
3. baada ya Lowasa kujiuzuru Richmond iliendelea kulipwa, je kama richmond ilikuwa ya LOwassa kwanini serikali haikusitisha malipo baada ya lowassa kujiuzuru?
4. kama serikali iliendelea kufanya malipo, je ni nani alikuwa analipwa kama siyo namna ya serikali kuhalalisha pesa kwenda mfuko wa ccm?
5. kama richmond ilikuwa ya lowasa kwanini baada ya kujiuzuru richmond ilibadilika ikawa Dowans, baadae ikaitwa symbion, na baadae IPTL.
6. kama richmond ilikuwa ya Lowassa, alipo kuwa tayali amejiuzuru nani alikuwa akiuza hiyo mitambo na kuibadilisha majina.
7. kama richmond ilikuwa ya Lowassa, kwanini rais wa marekani alipo kuja nchini hakuonekana akiwa na Lowassa kujadili iliyo kuwa mjukuu wa richmond yaani IPTL na badala yake akaonekana akiwa na mtu mwingine mkubwa tu katika serikali ya ccm?
8. kama Richmond aliyo bandikiwa lowasa ilikuwa tatizo mbona mtoto na mjukuu IPTL ikazaa ESCROW na hakuna hatua ya kisheria iliyo chukuliwa dhidi ya walio nufaika na mgao wa escrow bali kusafishana kisiasa.
9. kama Lowasa alikuwa mhusika wa richmond, kwanini hakuonekana katika mgao wa escrow huku ikiwa escrow imezaliwa na richmond iliyo zaa dowans, symbion na IPTL?
10. Kwanini serikali ya ccm imeshindwa kumshitaki Lowassa mahakamani angalau ionekane ameshinda kesi, lakini serikali ya ccm inaonekana maeneo kadha wa kadha ikisema lowassa ni fisadi je serikali tunayoitaka ni hii ya ccm inayo walinda wezi na kuliingiza taifa katika hasara kubwa?
11. je baada ya Lowassa kujiuzuru kwanini kashfa za rushwa zimeendelea kulikumba taifa kama, kuibiwa kwa meno ya tembo, mikataba mibovu ya gesi, miswada inayopita kwa dharura, ununuzi wa mabehewa feki, uagizaji wa magari ya kifahali, ziara za hovyo za viongozi, mbio za mwenge zinazolighalimu taifa pesa nyingi, ununuzi wa meli na vivuko vibovu, ufisadi wa Bil 951.7 wizara ya ujenzi (wakandarasi hewa) tena hizi ni namna ya kupitisha pesa kwenda mfuko wa chama alafu tunaambiwa ni ileile, mtaisoma, niwalewale hatuelewi hata kidogo eti. kama ni hivi watanzania tunatakiwa kupimwa akili.
sambaza haya maswali kwa wote unaowajua ili tupate majibu sahihi kabla ya 25 octoba.
hebu jaribu kupata majibu ya maswali haya alafu utafakari na ufanye uamuzi sahihi.
1. Lowassa alitaka kuvunja mkataba wa richmond Rais akamzuia, je kwanini?
2. kamati ya mwakyembe ilisema waziri mkuu ajiuzuru ili serikali isianguke, kikatiba waziri mkuu anapo jiuzuru lazima serikali (mawaziri) wafutwe na rais aunde baraza jipya. je ni serikali ipi alimaanisha isivunjike baada ya Lowasa kujiuzuru?
3. baada ya Lowasa kujiuzuru Richmond iliendelea kulipwa, je kama richmond ilikuwa ya LOwassa kwanini serikali haikusitisha malipo baada ya lowassa kujiuzuru?
4. kama serikali iliendelea kufanya malipo, je ni nani alikuwa analipwa kama siyo namna ya serikali kuhalalisha pesa kwenda mfuko wa ccm?
5. kama richmond ilikuwa ya lowasa kwanini baada ya kujiuzuru richmond ilibadilika ikawa Dowans, baadae ikaitwa symbion, na baadae IPTL.
6. kama richmond ilikuwa ya Lowassa, alipo kuwa tayali amejiuzuru nani alikuwa akiuza hiyo mitambo na kuibadilisha majina.
7. kama richmond ilikuwa ya Lowassa, kwanini rais wa marekani alipo kuja nchini hakuonekana akiwa na Lowassa kujadili iliyo kuwa mjukuu wa richmond yaani IPTL na badala yake akaonekana akiwa na mtu mwingine mkubwa tu katika serikali ya ccm?
8. kama Richmond aliyo bandikiwa lowasa ilikuwa tatizo mbona mtoto na mjukuu IPTL ikazaa ESCROW na hakuna hatua ya kisheria iliyo chukuliwa dhidi ya walio nufaika na mgao wa escrow bali kusafishana kisiasa.
9. kama Lowasa alikuwa mhusika wa richmond, kwanini hakuonekana katika mgao wa escrow huku ikiwa escrow imezaliwa na richmond iliyo zaa dowans, symbion na IPTL?
10. Kwanini serikali ya ccm imeshindwa kumshitaki Lowassa mahakamani angalau ionekane ameshinda kesi, lakini serikali ya ccm inaonekana maeneo kadha wa kadha ikisema lowassa ni fisadi je serikali tunayoitaka ni hii ya ccm inayo walinda wezi na kuliingiza taifa katika hasara kubwa?
11. je baada ya Lowassa kujiuzuru kwanini kashfa za rushwa zimeendelea kulikumba taifa kama, kuibiwa kwa meno ya tembo, mikataba mibovu ya gesi, miswada inayopita kwa dharura, ununuzi wa mabehewa feki, uagizaji wa magari ya kifahali, ziara za hovyo za viongozi, mbio za mwenge zinazolighalimu taifa pesa nyingi, ununuzi wa meli na vivuko vibovu, ufisadi wa Bil 951.7 wizara ya ujenzi (wakandarasi hewa) tena hizi ni namna ya kupitisha pesa kwenda mfuko wa chama alafu tunaambiwa ni ileile, mtaisoma, niwalewale hatuelewi hata kidogo eti. kama ni hivi watanzania tunatakiwa kupimwa akili.
sambaza haya maswali kwa wote unaowajua ili tupate majibu sahihi kabla ya 25 octoba.