First year UDSM wapewa pesa pungufu za boom

First year UDSM wapewa pesa pungufu za boom

we unasoma wapi ulioleta hii habari na haiwezekan usain lak 7 alafu upewe laki nne
 
duh vp wakuu ni kweli hyo means wamefaanya means test katik hyo hela ama?
 
Hiyo hela mshukuru Mungu .

Hiyo hela ndo meenda nayo jana FIESTA,mmenda nayo CINEMAX,mmeenda nayo gesti kusugulia mademu.
Meenda nayo kupigia mtungo hapo hall six,Mungu anakuona.

Maisha yako yote jana ndio umeanza kunywa HEINEKEN ,na dem Ukamnywesha AMARULA,kuonyesha wewe ni kidume wakati hela za mkopo,hela wamekatwa wamama wanaofagia barabara ,waosha maiti,polisi wanaokwsha barabarani,eeh hamna huruma,Asaivi mpo na huyo mwanamke BREAK POINT mnazimua supu ya SWALA alafu mnaenda GESTI hapo Sinza kumalizia shetani alichowaanxishia jana,eeh Mola kwa wanaotufanyia hivi nina maombi machache kama ifuatavyo:-

1:-Wanafunzi wote walitumia hela ya mkopo kuzinia/sex ,kupigia dem wapate supp first semister,wapate carry forwaed, na semister ya pili wa discontinue.

2:-Waliosex huku wamepata mkopo 100% washike mimba,washindwe kuendelea na masomo,Mwanaume amkimbie na kwao afukizwd maana mahahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele.

3:-Wapate UKIMWI na magonjwa mengineyo ili iwe funzo.

4:- Wakute vyumbani mwai wameibiwa Laptop zao,simu na hela waliokuwa wameficha chini kabisa mwa begi.

5.:-Watakao nusurika kabisa basi mwaka wa mwisho wafeli/disco ili wajutie na wakumbuke hii siku ya fiesta,wakurudie.

6:- Hili ni ombi langu la milele waokoke na kusamehewa dhambi.,wameshindwa kuelewa FIESTA mwanzilishi wake ni Free Mason!
Khaa[emoji5][emoji5] nawaombea woote hao Mola awasamehe kwan hwakujua walitendalo,,
 
Hiyo hela mshukuru Mungu .

Hiyo hela ndo meenda nayo jana FIESTA,mmenda nayo CINEMAX,mmeenda nayo gesti kusugulia mademu.
Meenda nayo kupigia mtungo hapo hall six,Mungu anakuona.

Maisha yako yote jana ndio umeanza kunywa HEINEKEN ,na dem Ukamnywesha AMARULA,kuonyesha wewe ni kidume wakati hela za mkopo,hela wamekatwa wamama wanaofagia barabara ,waosha maiti,polisi wanaokwsha barabarani,eeh hamna huruma,Asaivi mpo na huyo mwanamke BREAK POINT mnazimua supu ya SWALA alafu mnaenda GESTI hapo Sinza kumalizia shetani alichowaanxishia jana,eeh Mola kwa wanaotufanyia hivi nina maombi machache kama ifuatavyo:-

1:-Wanafunzi wote walitumia hela ya mkopo kuzinia/sex ,kupigia dem wapate supp first semister,wapate carry forwaed, na semister ya pili wa discontinue.

2:-Waliosex huku wamepata mkopo 100% washike mimba,washindwe kuendelea na masomo,Mwanaume amkimbie na kwao afukizwd maana mahahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele.

3:-Wapate UKIMWI na magonjwa mengineyo ili iwe funzo.

4:- Wakute vyumbani mwai wameibiwa Laptop zao,simu na hela waliokuwa wameficha chini kabisa mwa begi.

5.:-Watakao nusurika kabisa basi mwaka wa mwisho wafeli/disco ili wajutie na wakumbuke hii siku ya fiesta,wakurudie.

6:- Hili ni ombi langu la milele waokoke na kusamehewa dhambi.,wameshindwa kuelewa FIESTA mwanzilishi wake ni Free Mason!
Ndugu nimekosa Tusi la kukutukana au jina la kukuita , Kwa roho yako mbaya kama ningekua Mimi ndiye Mungu nimeamuru ufe Leo Mshenzi wewe yani watoto wa maskini wanalia njaa wee mavi ya kuku unaharisha uharo wako hapa mbuzi kabisa
 
sitalajii= sitarajii
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.
 
Hao waliopata laki nne au nusu itakua waislam,ndalicha anajulikana kwa chuki na hao watu,ipo moyoni mwake.
comment ya kizombi ya kufungia mwaka, sitarajii kama kuna nyingine ntaiona ya mwaka huu!
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.

Mkuu kama umeamua kumkosoa kwenye Upper case na lower case ni vyema sana lakini ni sababu gani imepelekea na wewe kutumia lugha isiyo fasaha
*unayetalajia
*sitalajii
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.
Sitalajii---- sitarajii

Mmmh ndugu na wewe ni walewale.[emoji72] .
 
A K U N Y I M A E M B A A ZI A M E K U P U N G U Z I A M A S H U Z I.
 
Na wewe nakurekebisha sio unatalajia Bali unatarajia shwaini wewe unajifanya kukosoa na wewe ni mkosaji
 
Hii ni hasara kwako na kwa familia yako, msomi wa chuo kikuu hata kuandika hujui unawaza boom tu.

Upper case na lower case nadhani ni vitu ulivyofundishwa tangu Primary school, sasa iweje kijana unayetalajia kuwa mbobebezi mpaka leo hata kanuni tu za uandishi hujui?

Unapoanza sentensi huwa tunaanza na herufi kubwa. Sitalajii excuse kwa jambo kama hili kutoka kwa mwanafunzi ambaye akili yake bado haijakutana na suruba za kitaa.
Usimzodoe mwenzako,huo uandishi wako wa SITALAJII huuoni?
 
Habari za muda huu,,,
Nimeanzisha uzi huu ili kuweka bayana kwa kilichotokea kwa wanafunzi wa 1st year udsm kupata fedha pungufu ya meal and accomodtion(MA) and stationary fee.

Wanafunzi wa 1st year wamesaini karatasi za allocation za mara ya kwanza zile zenye MEAN TEST hadi kwenye fedha za kujikimu na stationary ambazo walizigomea kuzisaini mara ya kwanza kwani allocation mpya wanasema hawajazipata mpaka hivi sasa.

Sababu:1st year walifanya hivyo kwani wengi wao hawakuelewa kwamba kile watakachosaini ndo watakachpokea na kudhani kuwa zile karatasi ni maalumu kwa ajili ya kupata nambari zao za account ili waingiziwe kiwango kilekile ambacho kilisemwa na waziri mwenye dhamana pia ugumu wa maisha ya chuoni ulichangia ukiaangalia wameripoti chuoni tangu tar 10 october na mpaka Nov hawakupata fedha zao so miasha yalikuwa magumu sana kwao.

Mapendekezo:Watu wenye dhamana na hili wawape wanafunzi fedha zao zilizobakia pia ni rai yangu kwa DARUSO kufuatilia na kujua hatima ya hizi fedha kwani ni hamna chochote zaidi ya ubadhilifu katika muamala huu.Fedha zishatolewa so wanafunzi wasipopewa basi kuna watu wataziingiza mifukoni mwao.

NYIONGEZA😀ARUSO msipofuatilia hili basi ni dhahiri shahiri kuwa nanyi ni wanufaika wa hizi fedha na endapo wakishindwa basi viongozi wengine wenye mamlaka zaidi walivalie njuga suala hili
 
Kwann nyie mliotangulia hapo msiwaelimishe wenzenu ambao mnajua fika kuwa ni wageni ktk mazingira ya hapo Chuoni?
Alafu unaleta huu Ubuyu ili tuwasaidieje hao vijana wakati nyie mliopo karibu yao mmeacha wanaingia choo cha kike.
 
Boom lina sheria kali mpaka kulipata,
Wale wa mwanzo kusign walitumia temporary ID Kusign ila ajabu kwa walioenda kuanzia leo bila permanent ID huwez sign..
Na izo ID kila ukifata kwenye college yako,mizinguo tu......

Sasa sijui wanataka tuzamie meli twende ULAYA
 
Back
Top Bottom