First time nadrop Newyork city I was shocked

First time nadrop Newyork city I was shocked

Ninachukulia kama umeishi huko miaka mingi?

Je unajihisi mgeni(imposter syndrome) mpaka hivi leo? Unapakumbuka nyumbani? Kuna ubaguzi wowote unapata kama mhamiaji?
New York City pamekuwa nyumbani sasa. Takriban miaka 30 sasa. Nimesoma, nimenunua nyumba, nimeanza maisha, mpaka move to suburbs na naelekea kustaafu niko viunga vyake.

Najihisi mgeni?

New York City kuna wageni wengi sana, wa kutoka kila kona ya dunia, kiasi kuwa mgeni si ajabu. Meya wa sasa Mamdani ni muhindi kazaliwa Kampala Uganda.

Ugeni uliniisha nilipoanza kuwaelekeza watu njia. Hata mwaka mmoja ulikuwa haujafika tangu nilipoingia.

Nyumbani napakumbuka. Lakini nikija huko najiona mgeni pia, rafiki zangu wengi wametawanyika. Upanga na Oysterbay, mitaa yangu ya miaka ya 1980s na 1990s mwanzoni si sawa na leo.

Nyumbani kila nikitaka kurudi naahirisha sasa miaka 14 sijarudi.

Na October 29 2025 ndoyo kabisa imenifanya nione sijakosea kutokuwa na tamaa sana ya kurudi hata likizo.

Tatizo lingine ni kwamba wazazi wangu wanakuja huku karibu kila mwaka, inapunguza sababu za kurudi nyumbani.

Kuhusu ubaguzi.

Ubaguzi unapigwa vita sana na ni tusi kubwa sana mtu akiambiwa mbaguzi, ni vigumu kuukuta wa wazi ingawa wa chinichini kuuondoa kabisa ni vigumu, lakini New York City, by virtue of its population and bihgest city nature, is probably one of the least racist place in the US.

New York City ni mjinwa kimataifa, nimepata nafasi za kuongoza projects za kimataifa bila kubagukiwa, bila ya kuwa na godfather, kwa uwezo wangu tu watu wameangalia CV wakanipa kazi. Kwa namna ambayo hata Tanzania pengine ningeweza kubagukiwa zaidi ya New York City.
 
Ottawa zaidi ya serikali kuna deal gani hapo?

Uncle wangu alikuwa ubalozini hapo kitambo sana.
Ndio uje kiongozi ufahye utali, uta enjoy sana

Niliwahi kufika NYC last year kwenye meeting , ukiniuliza leo mimi sehemu ya ku chil kwa utulivu , USA siikubali. Vijana wa USA kuondoa uhai wa mtu ni kitu cha kawaida sana , rate ya Crime ni kubwa hata hapo NYC

Hapa Ottawa downtown ni busy area well constructed very cool . Huko kwenu aisee

Hujawahi kukoswa koswa mkuu

Yule MTZ alikua akifanya kazi google ,alikutwa amekufa kwa gun shoot

USA bhwana
 
Ndio uje kiongozi ufahye utali, uta enjoy sana

Niliwahi kufika NYC last year kwenye meeting , ukiniuliza leo mimi sehemu ya ku chil kwa utulivu , USA siikubali. Vijana wa USA kuondoa uhai wa mtu ni kitu cha kawaida sana , rate ya Crime ni kubwa hata hapo NYC

Hapa Ottawa downtown ni busy area well constructed very cool . Huko kwenu aisee
Dah, unanikumbusha aunt yangu kichizi.

Na yeye alikuwa anaisagia US hivyo hivyo.

Halafu ikambidi aje kuishi NYC kikazi.

Basi akawa anakaa NYC ila kila siku anaisagia Marekani na kuisifu Canada

Hivi hii tabia ni walio Canada wote mnafundishwa hivyo au inakuwa vipi? 😂😂😂
 
New York City pamekuwa nyumbani sasa. Takriban miaka 30 sasa. Nimesoma, nimenunua nyumba, nimeanza maisha, mpaka move to suburbs na naelekea kustaafu niko viunga vyake.

Najihisi mgeni?

New York City kuna wageni wengi sana, wa kutoka kila kona ya dunia, kiasi kuwa mgeni si ajabu. Meya wa sasa Mamdani ni muhindi kazaliwa Kampala Uganda.

Ugeni uliniisha nilipoanza kuwaelekeza watu njia. Hata mwaka mmoja ulikuwa haujafika tangu nilipoingia.

Nyumbani napakumbuka. Lakini nikija huko najiona mgeni pia, rafiki zangu wengi wametawanyika. Upanga na Oysterbay, mitaa yangu ya miaka ya 1980s na 1990s mwanzoni si sawa na leo.

Nyumbani kila nikitaka kurudi naahirisha sasa miaka 14 sijarudi.

Na October 29 2025 ndoyo kabisa imenifanya nione sijakosea kutokuwa na tamaa sana ya kurudi hata likizo.

Tatizo lingine ni kwamba wazazi wangu wanakuja huku karibu kila mwaka, inapunguza sababu za kurudi nyumbani.

Kuhusu ubaguzi.

Ubaguzi unapigwa vita sana na ni tusi kubwa sana mtu akiambiwa mbaguzi, ni vigumu kuukuta wa wazi ingawa wa chinichini kuuondoa kabisa ni vigumu, lakini New York City, by virtue of its population and bihgest city nature, is probably one of the least racist place in the US.

New York City ni mjinwa kimataifa, nimepata nafasi za kuongoza projects za kimataifa bila kubagukiwa, bila ya kuwa na godfather, kwa uwezo wangu tu watu wameangalia CV wakanipa kazi. Kwa namna ambayo hata Tanzania pengine ningeweza kubagukiwa zaidi ya New York City.
Mimi mkuu ukiniambia nimshauri mtu akatafute maisha au kusoma USA au CANADA , I would recommend aende Canada , akishundwa aende UK

NI Kweli USA kuna opportunity nyingi sana wenyewe wanamsemo wao

The land of opportunity, but garantii ya maisha hapo aisee
Marafiki zangu wawili mmoja alikuwa google walimuua , mwingine alikuwa baseball nae alipigwa risasi

Yupo yule mtoto wa mzee masiole… baba yake alikuwa mlinzi na msaidizi wa Mkapa , nae naambiwa alikufa huko
Alikuwa Pennsylvania

Sitak kabisa kusikia USA , hardly kukaa zaidi ya mwezi nikijaga hapo

Najua Kiranga unayo history ya kukoswa koswa

Share it
 
Mimi mkuu ukiniambia nimshauri mtu akatafute maisha au kusoma USA au CANADA , I would recommend aende Canada , akishundwa aende UK

NI Kweli USA kuna opportunity nyingi sana wenyewe wanamsemo wao

The land of opportunity, but garantii ya maisha hapo aisee
Marafiki zangu wawili mmoja alikuwa google walimuua , mwingine alikuwa baseball nae alipigwa risasi

Yupo yule mtoto wa mzee masiole… baba yake alikuwa mlinzi na msaidizi wa Mkapa , nae naambiwa alikufa huko
Alikuwa Pennsylvania

Sitak kabisa kusikia USA , hardly kukaa zaidi ya mwezi nikijaga hapo

Najua Kiranga unayo history ya kukoswa koswa

Share it
Inategemea unakaa wapi pia mkuu, mimi nakaa ushuani huku watu wanalala milango wazi hakuna tatizo.

Sasa ukienda kukaa ghetto huko ukiuawa unashangaa nini?
 
20260103_185517.jpg
20260103_185501.jpg


Karibu TN bruv...

NY ni ushuani sana
 
Back
Top Bottom