š„¶ Mji umesimamia ukucha balaa
View attachment 3577002
Stand ya mabasi inaitwa Port Authority.Hivi stendi ya New York ipoje? Pls msinicheke.
Midtown Manhattan.
Jiji lina mengi sana hili.
Nilivyoingia kuna siku nilikiwa najieleza kwa Mmarekani mmoja kuwa "I am not from here". Namuona yeye Mmarekani mwenyeji.
Na yeye akaniambia "I am also not from here, I am not even from the Northeast".
Yani mimi nilivyojiona mgeni New York City natoka Tanzania, na yeye eti alikuwa anajiona mgeni katoka huko Marekani ndanindani.
Nikataka kusema lakini wewe afadhali Mmarekani, lakini nikaona dah, nipambane na hali yangu tu hatanielewa.
Karibu hapa Downtown Ottawa ujioneeMidtown Manhattan.
Jiji lina mengi sana hili.
Nilivyoingia kuna siku nilikiwa najieleza kwa Mmarekani mmoja kuwa "I am not from here". Namuona yeye Mmarekani mwenyeji.
Na yeye akaniambia "I am also not from here, I am not even from the Northeast".
Yani mimi nilivyojiona mgeni New York City natoka Tanzania, na yeye eti alikuwa anajiona mgeni katoka huko Marekani ndanindani.
Nikataka kusema lakini wewe afadhali Mmarekani, lakini nikaona dah, nipambane na hali yangu tu hatanielewa.
Mabibo ipi?Hongereni sana, sisi tupo kwenye hii Mabibo yetu.