Unaona hizo Lane.Hii mbona ni sawa na pale Kariakoo , Dar Es Salaam ama Nairobi tu?
🥶 Mji umesimamia ukucha balaa
View attachment 3577002
hahaa umeniumbua mshamba wa mikoaniMabibo ipi?
Kama wewe unavuta bange sio wote tunavuta sawasawa?
NY utapaskia tu kama hivi kufika hufiki.
Red black tangu utue down town NU YORK umesahau kabisa mitaa ya dzmMabibo ndio wapi uko?
Ottawa zaidi ya serikali kuna deal gani hapo?Karibu hapa Downtown Ottawa ujionee
Ilikuwa kwenye movie au game ?🥶 Mji umesimamia ukucha balaa
View attachment 3577002
Nliishi maeneo ya Mabibo jeshini ndo maana ulivotaja Mabibo nkawa interested, Kipindi kile stendi ilikua Ubungo.hahaa umeniumbua mshamba wa mikoani
Tembea uone mkuu New York sio pa kufafanusha na Kariakoo , leo nimetoka Kariakoo mvua imenyesha kidogo maji machafu yapo road chemba zimeachiwaHii mbona ni sawa na pale Kariakoo , Dar Es Salaam ama Nairobi tu?
Uliinda kwa ishu gani na mimi nipite njia zako nizamie ?Live
Utazoea tu mkuu.View attachment 3577027
Manhattan dah
Kama una ndoto hizo dogo inabidi uache kuanzisha nyuzi za hovyo tulia Jf usome nyuzi za maana za wakubwa zako na utuulize watabe tukupe ramani na mawazo ya kwenda MamtoniUsisahau kutupa mrejesho mkuu.
Maana unaishi kwenye ndoto zetu kabisa, Mungu akuweke
Ninachukulia kama umeishi huko miaka mingi.Midtown Manhattan.
Jiji lina mengi sana hili.
Nilivyoingia kuna siku nilikiwa najieleza kwa Mmarekani mmoja kuwa "I am not from here". Namuona yeye Mmarekani mwenyeji.
Na yeye akaniambia "I am also not from here, I am not even from the Northeast".
Yani mimi nilivyojiona mgeni New York City natoka Tanzania, na yeye eti alikuwa anajiona mgeni katoka huko Marekani ndanindani.
Nikataka kusema lakini wewe afadhali Mmarekani, lakini nikaona dah, nipambane na hali yangu tu hatanielewa.
Poa mkuu , soon In Shaa kama upo huko tunaweza kukutana nasubiri simu moja tu tukutane majuu In Shaa Allaahhili swali sijibu ni personal