First-Left, Arachuga ...

First-Left, Arachuga ...

seven up na 1st left ipi ilitangulia?kule ngaramtoni kuna bar ya zamani sana inaitwa texas.

imeanza first left, ikafuatia freedom then 7up....texas ile bana ni ya long time sana.....
 
hapo ndo penyewe mkuu....ukiwa hapo pia ulizia shivaz iko mitaa gani...

shukrani sana mkuu,

hivi sasa niko chimbo flani hapa linaitwa 'The Picnic', naona kuna ghashi za ukwenga kchizi zinapiga 'tray', basi mi bia inashuka swaafi ..!
 
Back
Top Bottom