Yuko kenya anajifunza lugha ya kiingerezaYupo ikulu anakula kuku wakati maelfu hawana uhakika japo kipande cha muhogo
Kwani mama siti na mama anna walikuwa mafesti ledies wa nani.First lady wa nani? Mama Sit Katuibia na waarabu, Mama Mkapa ndio bepari na mwizi kupindukia na huyu Mama Kikwete ni first lady wa nani...msitupotezee muda humu, ujinga mtupu...hii ikulu ni kama vibanda vya casino.
Mbona wakati wa kampeni uwepo wake ulikuwa na impact kubwa, aliweza kubadili mawazo ya watu waliomchoka mume wake na wakawa na imani naye tena. Uwepo wake unaweza kusaidia hata akamshauri mume akaachia ngazi.....lol.Kuwepo na kutokuwepo kwake hakuna impact yoyote kwa nchi, labda kwa mumewe!
Mbona wakati wa kampeni uwepo wake ulikuwa na impact kubwa, aliweza kubadili mawazo ya watu waliomchoka mume wake na wakawa na imani naye tena. Uwepo wake unaweza kusaidia hata akamshauri mume akaachia ngazi.....lol.
Ahahahahahaaahh!! Kuna pacha wangu kaolewa na katibu wa ccm wa wilaya, nimtenge!! It is not possible......lol....Kuna wanawake wajinga wengi tu ndani ya ccm...chama kinawarudisha wanawake wengi kila mahali...ndugu yako akioelewa na mwanachama wa ccm mumtenge. Vichaa hao...brainwash