First lady anayejitambua barani Afrika

First lady anayejitambua barani Afrika

HORSE POWER

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
2,328
Reaction score
1,666
Fisrt lady (Mke wa Rais) wa Siera Leone, Fatma Maada mwaka jana alipokuwa akifanyiwa mahojiano alielza mambo mbalimbali ikiwemo kueleza kuwa yeye kama mke wa Rais si sehemu ya serikali ila anazungumza kwa niaba ya watu. Pamoja na hayo alieleza ni kwa namna gani Africa inaweza kujikomboa
 
Kachanganya mazuri na mabaya ila sio mbaya kajitahidi kueleza hisia zake
Pamoja na kuingiliwa na mataifa ya nje lakini pia viongozi afrika baadhi Yao ni corrupt sana na wananyanyasa raia wasipoangaliwa kwa umakini na international organization wanaweza kuumiza wananchi
 
Back
Top Bottom