HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,328
- 1,666
Fisrt lady (Mke wa Rais) wa Siera Leone, Fatma Maada mwaka jana alipokuwa akifanyiwa mahojiano alielza mambo mbalimbali ikiwemo kueleza kuwa yeye kama mke wa Rais si sehemu ya serikali ila anazungumza kwa niaba ya watu. Pamoja na hayo alieleza ni kwa namna gani Africa inaweza kujikomboa