Find me if you are Interested

Exformer

JF-Expert Member
Nov 12, 2018
838
953
Nimehitimu Degree ya Uchumi wa maendeleo ya jamii(Community Economic Development) mwaka 2022.

Experience:
Nina uzoefu wa mwaka [1] kama Afisa maendeleo ya jamii katika shirika la WORLD VISION TANZANIA-DODOMA.

Nimefanya majukumu kama:
*Field Officer
* Kuibua vikundi vya ujasiruamali na kuviwezesha kupata mikopo kutoka Vision Fund Tanzania.
*Kukusanya data katika mazoezi ya Baseline, Evaluation.
* Kuandaa Mafunzo na semina/Warsha mbalimbali kuhusiana miradi inayoendeshwa na shirika.
*Kuibua vipaumbele(Community Engagement) vya jamii kwa ajili ya mipango kazi ya shirika.
  • Kusaidia Uandaaji wa malipo ya wakufunzi na washiriki wa semina, kutokea AP kwenda Cluster Level.
  • champion wa Empowered World View(Mtazamo Chanya) kwenda kwa wanajamii.

Ujuzi/Skills.
1. Kuandaa Terms of Reference vizuri kwa shughuli husika.
2. Kuandaa malipo na documents za malipo
3. Kutumia Kompyuta Vizuri.
4. Kuendesha pikipiki kwenye maeneo ya vijijin (Field Area)
5. Kutumia Excel kuandaa malipo, World, na PPT.
6. Kutumia internet vizuri: Email, outlook.
7. Kuandaa report na kuzituma kwa njia ya mfumo.
8. Ujuzi wa kuwasiliana.
9. Kujali muda
10. Team worker.
✔️Kufanya kazi yoyote ninayopangiwa kuifanya.

MAWASILIANO.
JINA: HAMISI RAJABU
NAMBA: 062884189/0765742803.
EMAIL : hamicomaryrajabu993@gmail.com
CHAMWINO,
DODOMA.
 
Back
Top Bottom