Find 'A'

Daah.mambo yangu hayo.nilikuwa nakata math.mpaka swali likiniona lina jisolve lenyeweee.
 
Hesabu ulipataga ngap mkuu??? Ni kwel sio equilateral , ndo maana pembe zake zimekuwa indicated by "a" ,"4a" and "5a" respectively . The summation must be equal to 180degrees.
Yes mkuu, nliScore ka.A flan
 
We jamaa mbishi sana, kwani a=18 inamaanisha kuwa angle zipo sawa? Huoni hizo coefficients? a, 4a, 5a? Hapo ni kwamba angle moja ni 18, nyingine ni 4x18, na nyingine ni 5x18! Mbona hii kitu ni simple sana? (Jumla ni 180)
Ndo unazidi kumchanganya kabisaaa
 
Jumla itakua 180 sawa ila angles zinaweza zikatofautiana ukubwa, mfano 72°, 38° na 70°, je hizi hazikuletei total ya 180° tusirahisishe approach kisa tu tumeona common coefficient imetumika bila kujali kam triangle yetu ni equilateral ama la!
Chuku 18 zidisha na value ya a kwenye angle husika utapata ukubwa was angle husika
So angle zako zitakua HV
a=18
4a=72
5a=90
So 90+72+18=180
 
kuna umuhimu wa kuanzishwa basic mathematics forum, kidogo kupunguza janga hili zito
 
Kuna watu wabishi humu sijawahi ona.
Basi tunaomba mleta mada tupe jibu sahihi ili tuukate huu mzizi wa fitna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom