Find 'A'

Mchoro umekosewa kuchorwa, kwa jinsi ilivyoandikwa a ni 18 degrees kama alivyoonyesha APEFACE , basic Euclidean axioms and arithmetic.

Nyuzi zote za ndani za pembetatu yoyote ni lazima ziwe 180 kwa mujibu wa Euclidean geometry, labda uniambie pembetatu hii haipo katika Euclidean Geometry. Kuna pembetatu zilizo na nyuzi zaidi ya 180, na nyingine zina nyuzi chini ya 180, lakini hizo ziko katika curved spacetime, non-Euclidean Geometry.

That is axiomatic. Fiat. Ukibisha unabishana na Euclidean axioms.

Lakini mchoro haujakaa kwa angles hizo ukiuangalia kwa macho, ni kama equilateral triangle ambayo itakupa majibu tofauti ya a=60, a= 12 na a= 15 degrees simultaneously, a contradiction.

Hizi hesabu za darasa la sita, hebu leteni mambo kama ya Fermat's Last Theorem, Ramanujan's proofs na vitu kama vya Grigori Perelman.
Mc Laurian's theorem, newton raphson formula, ma numerical methods yote, au differential calculus
 
Hahaha haya ndo madhara ya HKL! Hata BAM hujasoma !
Ni kweli kabisa mkuu, kwenye hkl tulijua tunasoma coordinate II, diff. Calc., complex #, numerical methods, na kitabu cha trunter ni kitabu kizuri sana cha kiswahili nlichokua Nikipenda.
 
Mc Laurian's theorem, newton raphson formula, ma numerical methods yote, au differential calculus
Mazee kuna watu hawajajua Euclidean axioms (like the inside angles of a triangles on flat surfaces/spacetime always equal 180 degrees,no matter what is the type of triangle), utawachanganya huko.
 
Mchoro umekosewa kuchorwa, kwa jinsi ilivyoandikwa a ni 18 degrees kama alivyoonyesha APEFACE , basic Euclidean axioms and arithmetic.

Nyuzi zote za ndani za pembetatu yoyote ni lazima ziwe 180 kwa mujibu wa Euclidean geometry, labda uniambie pembetatu hii haipo katika Euclidean Geometry. Kuna pembetatu zilizo na nyuzi zaidi ya 180, na nyingine zina nyuzi chini ya 180, lakini hizo ziko katika curved spacetime, non-Euclidean Geometry.

That is axiomatic. Fiat. Ukibisha unabishana na Euclidean axioms.

Lakini mchoro haujakaa kwa angles hizo ukiuangalia kwa macho, ni kama equilateral triangle ambayo itakupa majibu tofauti ya a=60, a= 12 na a= 15 degrees simultaneously, a contradiction.

Hizi hesabu za darasa la sita, hebu leteni mambo kama ya Fermat's Last Theorem, Ramanujan's proofs na vitu kama vya Grigori Perelman.
Au unataka mambo ya komarov Smogrov. Fourrier. Eugine. Albert E. Na kina mimi Eudorite.....

Hahahaaaa... tutaachana mapema saana mkuu. Hayo ndiyo yaliyozaa NANO SCIENCE inayotajirisha baadhi ya binadamu na nchi duniani. Hayo ndiyo technology.
 
Ni kweli kabisa mkuu, kwenye hkl tulijua tunasoma coordinate II, diff. Calc., complex #, numerical methods, na kitabu cha trunter ni kitabu kizuri sana cha kiswahili nlichokua Nikipenda.
Shida siyo kujua idadi ya topic na vitabu, kutumia ulichokisoma ndo shida yako na yawezekana room mate wako ndo aliekuwa anasoma p/mathematics wewe kiswahili ila unakumbuka hadithi zake huko shuleni.

Mimi ntaaminije kama kweli umesoma p/mathematics kama unashindwa kutumia elimu yako.
 
Au unataka mambo ya komarov Smogrov. Fourrier. Eugine. Albert E. Na kina mimi Eudorite.....

Hahahaaaa... tutaachana mapema saana mkuu. Hayo ndiyo yaliyozaa NANO SCIENCE inayotajirisha baadhi ya binadamu na nchi duniani. Hayo ndiyo technology.
Nanotech is just about dead, I was reading somewhere. No?

Walete Paul Dirac's equations hapa na Heisenberg's wave functions to depict Uncertainty Principle and how it affects matter from Uranium decay to the escape of particles fromBlack Holes.

Nimfungue Sir Roger Penrose kwenye "The Road To Reality: A Complete Guide To The Laws of The Universe"

Sio hesabu za darasa la sita.
 
Shida siyo kujua idadi ya topic na vitabu, kutumia ulichokisoma ndo shida yako na yawezekana room mate wako ndo aliekuwa anasoma p/mathematics wewe kiswahili ila unakumbuka hadithi zake huko shuleni.

Mimi ntaaminije kama kweli umesoma p/mathematics kama unashindwa kutumia elimu yako.
Sijabisha mkuu. Nimesoma hklf na klf. I rest my case
 
Jumla itakua 180 sawa ila angles zinaweza zikatofautiana ukubwa, mfano 72°, 38° na 70°, je hizi hazikuletei total ya 180° tusirahisishe approach kisa tu tumeona common coefficient imetumika bila kujali kam triangle yetu ni equilateral ama la!
We ni kilazer wa kiwango cha lami
 
Jumla itakua 180 sawa ila angles zinaweza zikatofautiana ukubwa, mfano 72°, 38° na 70°, je hizi hazikuletei total ya 180° tusirahisishe approach kisa tu tumeona common coefficient imetumika bila kujali kam triangle yetu ni equilateral ama la!



We jamaa mbishi sana, kwani a=18 inamaanisha kuwa angle zipo sawa? Huoni hizo coefficients? a, 4a, 5a? Hapo ni kwamba angle moja ni 18, nyingine ni 4x18, na nyingine ni 5x18! Mbona hii kitu ni simple sana? (Jumla ni 180)
 
Ni kweli kabisa mkuu, kwenye hkl tulijua tunasoma coordinate II, diff. Calc., complex #, numerical methods, na kitabu cha trunter ni kitabu kizuri sana cha kiswahili nlichokua Nikipenda.
naona unajisafisha kiaina kutaja topic na vitabu vya advance mathematics...
 
Haiwezi kua 18° mkuu because hii siyo equilateral triangle so approach yako ni wrong....
Hesabu ulipataga ngap mkuu??? Ni kwel sio equilateral , ndo maana pembe zake zimekuwa indicated by "a" ,"4a" and "5a" respectively . The summation must be equal to 180degrees.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom