Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Jamani........huwezi kuahirisha hiyo safari yako ili nipate wenyeji wengi??
Hapana......ni ya lazima ndugu!
Jamani........huwezi kuahirisha hiyo safari yako ili nipate wenyeji wengi??
Hapana......ni ya lazima ndugu!
Mbona mimi mmenibagua jamani? Kwa vile nilisema ningekuja na Paw? Tukiwa mtaani hapigi ban.
Mimi nataka sana kukutana na ruttashobolwa na nina hakika hatakuwa peke yake...
je kwa siku mmja unaweza mwelezea mtu hivyoHatimae ile dream niliyokua nikiisubiria muda kitambo, leo milango ya saa 11 na ushee ikatimia.
Tumeonana tumeongea , tukabadilishana mawazo .
Niseme moja tu, kwamba imagination yangu haikua mbali na ambavyo nilimfikiria alivyo.
He's so charming , muelewa , creative. Inshort generally ni mtu makini .
Nadhani huu ni mwanzo mzuri , na mategemeo nitafahamiana na wengine pia.
Judgement .
Pamoja daima JudgementHatimae ile dream niliyokua nikiisubiria muda kitambo, leo milango ya saa 11 na ushee ikatimia.
Tumeonana tumeongea , tukabadilishana mawazo .
Niseme moja tu, kwamba imagination yangu haikua mbali na ambavyo nilimfikiria alivyo.
He's so charming , muelewa , creative. Inshort generally ni mtu makini .
Nadhani huu ni mwanzo mzuri , na mategemeo nitafahamiana na wengine pia.
Judgement .
worrrddddd! nitafika wa kwanza, lol!kukutana, kufahamiana na kubadilishana mawazo ni jambo zuri si vibaya pia kwa sisi tunaokaa Dar tukapanga japo siku moja ya week end tukakutana kwa lengo hilo nafikiri tunaweza kufungua ukurasa mpya.. wa kusocialize mambo!
haya mambo ya kukutana haya mmmh! unaweza ukajikuta unapanga kidate na mama yako wa kambo!
worrrddddd! nitafika wa kwanza, lol!
Sijui mtakatifu wewe ndiyo utakua afatae? Btw it's only God knows !