Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Venue je?
Ninafikiria nitawwjulisha.
Venue je?
natamani na mie ningekuwepo hapo......Hatimae ile dream niliyokua nikiisubiria muda kitambo, leo milango ya saa 11 na ushee ikatimia.
Tumeonana tumeongea , tukabadilishana mawazo .
Niseme moja tu, kwamba imagination yangu haikua mbali na ambavyo nilimfikiria alivyo.
He's so charming , muelewa , creative. Inshort generally ni mtu makini .
Nadhani huu ni mwanzo mzuri , na mategemeo nitafahamiana na wengine pia.
Judgement .