Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,634
- 3,944
sasa na wewe ndo umeandika nn?sababu ya kuniondoa payrole wanasema utoro ila utoro gani mtu nilienda masomoni? nisisome kisa watoto wapate huduma yangu?
huna akili timamu maana hata nilichoandka sicho ulichochangia..
anaumwa degue