Nina shaka wanajf hamjambo!nina mashaka na hizi muvi zetu zenye muelekeo wa imapenzi.eti mbongo akiigiza kalala na mwenzie hawachakahuani tunda la katikati?maana nahisi filamu zetu kwajinsi navyowajua wabongo mmmmh!mapenzi mbele pesa baadaye
mie kwakweli siangaliagi hizi vitu hizi
Kweli wewe ni m'bongo. Duh