Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Chami kazunguka sana kwenye maelezo yake. Ila nilivyomuelewa ni kwamba matatizo yapo kwa JK kuchagua watu wabovu kuongoza mashirika na bodi zake, kisha anakua mzito kutoa maamuzi pale anaposhauriwa awawajibishe.
Hata ikija cabinet nyingine mpya kama baba ni yule yule ni kazi bure tu.
Wacha niendelee kunywa bia yangu
Hata ikija cabinet nyingine mpya kama baba ni yule yule ni kazi bure tu.
Wacha niendelee kunywa bia yangu