FikraPevu: Waziri Chami ajibu mapigo sakata la TBS Bungeni

FikraPevu: Waziri Chami ajibu mapigo sakata la TBS Bungeni

All in all Chami is one of the ministers with integrity ......kama ameamua kuondoka wacha tu aondoke ...ukweli utakuja kumuweka huru,,.....ni ngumu sana kufanya kazi na usanii unaoendelea serikali hiii.
Nilitegemea watu kama Ngeleja na Adamu malima wawe wa kwanza kuondoka..kuokoa serikali
 
Chami asi-personalize jambo hili; siyo kosa la CHAMI bali ni kosa la SERIKALI. Yeye Chami anaandamwa kwa vile ndiye kipande cha Serikali kwenye jambo linaloongelewa.
 
Kikwete kapwaya kweli

Imefikia mahali watu wanachimbiana mashimo na Chami katumbukia mzima mzima ingawa angeweza kulikwepa
 
Waziri analalamika kukosa copy!!!! Cheyo was right, si mfuatiliaji na hicho kinamfanya kukosa sifa za kuwajibika hivyo anastahili kuwajibishwa:target:
 
Spot on kaka...yaani kwa sie wacheza darts tunaita umepiga bulls eye! Huu ndio ukweli wenyewe
 
Lazaro Nyalandu


Bwana asipoulinda mji, yeye akeshaye afanya kazi bure. (Bible)

haya ni maneno ya NAIBU WAZIRI LAZARO NYALANDU alivyomjibu waziri wake huko kwenye facebook! ilibidi nimpe LIKE ya nguvu kwa maneno hayo machache lakini yenye mana kubwa!!!!
 
Dr. Chami....ulinyweshwa maji ya bendera...hata fikra zako zikawa zimefungwa kwenye BOX la bureaucracy.....damn!
 
Huyu babu vipi?

Anatuaminishaje kuwa alikuwa anatumia rule ya eyes on and hands off wakati makampuni ya ukaguzi magari yaliyodaiwa kuexist huko ughaibuni halikukutwa hata moja? Hii ni wizara ambayo ingeweza kulisaidia kwa kiasi kikubwa taifa hili kuondokana na matatizo ya kiuchumi lakini ni moja ya wizara inaoleta matatizo makubwa (kumbuka matairi yasokuwa na ubora yanayoingizwa nchini chini ya kivuli cha tbs na namba ya ajali zinazotokea - zile zisababishwazo na matairi hayo tu)na bado anakuwa king'ang'anizi tu.

Haoni aibu?
 
Huyu jamaa hamnazo achana na report ya CAG na ile ya Akina Zitto vs TBS nayo hajapewa wakati izi kamati they are so friendly na alishawai kuambiwa.
Chapa lapa
 
Ni kwamba unampa waraka wa kumfukuza kazi nakala kwa huyo aliyemteua akikataa unajiuzulu wewe period! Wacha abebe mzigo kwani alidhani atakuwa kiongozi milele?


I like this.....yaani madhara ya off-side trick ni kwamba unaweka rehani timu kwa maamuzi na utashi wa refa na lines man ambao hamjakubaliana kwa trick husika

Ndo ngoma nyavuni tena....... beki lawama kwa waamuzi na kipa anawalaumu mabeki....... kocha kibarua hatarini........ washabiki hasira na zomea zomea..........hapo timu mashakani tu
 
Cha muhimu mawaziri wajifunze kufuata proper Channels kama anavyofanya Chami. Sio unakuwa kama Pinda unajiropokea rais anakuja anafanya maamuzi tofauti.
 
Maelezo yake mazuri ila hayupo update ya kinachoendelea, Sijui mchaga wa wapi huyu mbona wenzake wote majembe na sasa akija cdm msimpokee na huo uwazi atutema shenx typu
 
Waziri analalamika kukosa copy!!!! Cheyo was right, si mfuatiliaji na hicho kinamfanya kukosa sifa za kuwajibika hivyo anastahili kuwajibishwa:target:

Na ana katibu wa waziri ambaye yupo hapo bungeni, anapiga suti, kiwi, mkoba mkubwa na posho anakula kama kawaida..............hivi kweli waziri mzima ukae hapo huna hata informer (s) wa kukupa nini kinaendelea kila siku concerning your ministry i think ndo madhara ya kutaka kila shilingi umiliki wewe.........you were to fix antenaes na tails za kutosha ili upate coverage mr Minister...!!!!!!! Hata marafiki wa higher circles wa kukupa taarifa hukuwa nao???? This is serious, hata wabunge wenzako kutoka mkoa mmoja???? Kama mtu anaweza kutengwa na watu wote wanaomzunguka kiasi cha kumnyima hata taarifa hili ni tatizo kubwa sana................

Na exposure zooote za Ngurdoto na ulaya na wenzake wanavyofanya kazi???? Anatuambia kwamba hata usalama wake binafsi ni mashaka matupu kama anaweza kulala usingizi na kuamka asijue kwamba kuna taarifa inamuhusu na watu wameibana ili asiipate kwa nia ya kumuaibisha kama anavyodai na wakafanikiwa......huyu mtu wa aina hii kweli anaweza kujenga kiwanda....kusimamia biashara na kuimarisha masoko ya Tanzania nzima ndani na nje?????? Hapana imetosha kwa kweli hata kama unaonewa it is because you have exposed your weaknesses and you were not protecting those weak points

A PhD holder, waziri, mbunge, diwani, njumbe wa baraza la mawaziri, unagharamikiwa na serikali kila kitu....................... kweli?????? unajua all methodologies za kukusanya habari and you have failed to fetch the report


YOU ARE GOOD TO GO...............just be a Mh. mbunge kwa ridhaa ya wapiga kura wako
 
Cha muhimu mawaziri wajifunze kufuata proper Channels kama anavyofanya Chami. Sio unakuwa kama Pinda unajiropokea rais anakuja anafanya maamuzi tofauti.


Sawa mkuu lakini wanasema sheria haina uhai ila binadamu anao uhai na utashi sasa kama utakaa usubiri sheria ambayo haina mdomo kuja kusema huyu ni msafi madhara yake ndo kama hayo.....this time wananchi (including wabunge wenyewe) wanataka maendeleo na si suala la sheria tena kaka na kazi ya kuteuliwa haina rufaa useme mahakama itafuata sheri kukurejesha......unateuliwa kwa manufaa ya umma and the same manner unatoka

Na proper channels ni pamoja na kuachia ngazi pale unapoona proper channels hazifuatwi......

Post morteum haiwajawahi kuwa na manufaa mbadala kwa uhai wa marehemu................
 
Mimi ningemuelewa kama angesema ripoti ya CAG ni ya uwongo ndio maana hawakumpatia kabla lakini kwa ngojera hizi anazozitoa sasa namuona kama "mwizi" wa mali za watanzania.
 
chami anaumwa ugonjwa hatari kweli kweli, naona hadi anasahau kabisa
 
Huyu chami alikuwa amekazania kumkumbatia ekelege kwa sababu alikuwa anazani akifanya hivyo anakuwa anafuata mfumo wa ccm wa kulindana wakati hata hizi dili za ekelege tbs hapati senti yoyote, wanaokagua magari nje ni watoto wa wakubwa waliokuwa hapo kabla yake na ni wajinga tu kwa sababu wao wanajirusha tu wanasahau hata kulipa serikali. Ekelege alipewa na wtm $10,000 mwaka jana ili afumbie macho ujinga huu na sasa yanamtokea puani
 
Haya maelezo marefu ya Chami yanaonesha kuwa yeye ni mmoja kati ya hao wanaomtetea huyo mkuu wa TBS kwa maslahi binafsi!! hakuna cha kufuata kanuni wala taratibu baada ya kupata taarifa kuwa kulikuwa na uozo pale TBS ni wajibu wake kuchukua hatua mara moja!
 
Back
Top Bottom