Fikra kuhusu watu wakimya

Kujiwekea mipaka katika kuchangia aina tofauti ya mazungumzo na mahusiano baina ya mtu na watu wengine ndo tofauti iliyopo kati ya mtu mkimya na mropokaji.kujiwekea mipaka inasaidia sana kupunguza ugomvi usio wa lazima na inamjengea mtu kujiheshimu na kuheshimika na watu wengine pia.
 
lakini hii ni serious issue ,,,watz ni waongeaji sana lkn wamepungukiwa sana sasa kwa wa kimya ndo atazidi kuwa calm
 
I
Mi ni mkimya ila ukinizingua lazima nikupige ngumi na usipoanguka au kuzimia basi ujue we kweli mwanamke.

Wewe sio mkimya una kisirani kinakutembea mwilini ndo kinachokufanya ujione au udhaniwe ni mkimya.! Tena wala si mpole.....!
 

Exactly.........!
 

Team buku7 bora ungekuja na id zako zngne yaani ulichoandika humu hakuna hata kimoja unachofanana nacho, nyie vijana wa lumumba ni micharuko na walopokaji wazuri tena hamna adabu mzaba vibao hadi wazee ili mpewe vyeo iv ww chamviga kwa utumbo unaomwagaga jukwaa la siasa unaweza kutoa ushauri wa maana kweli kwa vijana wenzako?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…