Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Mimi siahidi lolote kupinga au kuunga mkono utabiri huo, kwani soka ni mchezo wa ajabu, unaweza ukaiweka timu ktk kambi ya sh. mil 500 bado ukaja kufungwa 5-0. Wewe unaahidi nini matokeo yasipokuwa hivyo?
Umesema uko bize bado unafanya nini hapa? Umehoji eti tunafanyaga kazi saa ngapi utafikiri tunakulaga kwako, log out uende zako bana.