FIFA yamuidhinisha Okwi kuichezea Young African

FIFA yamuidhinisha Okwi kuichezea Young African

Hata Simba walisema wataifunga Mgambo Shooting, kilichotokea tunajua wote. Mlisema kamwe Okwi hatacheza Yanga, sasa karuhusiwa. Hans papa alisema Okwi atacheza Mtani Jembe pekee, sasa atakipiga kwenye ligi hadi CAF. Kwa mara nyingine Rage et al. wameaibika tena; hiki ndicho kiini cha furaha yetu! Yanga oyee na Simba zii.

Hamna Timu Iliyowahi Kuchukua Pointi Tatu Pale Mbeya
Sisi Ndio Tutakuwa Wa Kwanza Na Wa Mwisho Ndani Ya Msimu Huu
 
Jinsi watu wanavyoweka post zao humu, sipati shaka kabisa nikiambiwa kwamba hawa ni miongoni mwa wale wanaodondoka uwanjani mambo yakienda kombo. Hivi mtu mzima unakaa unashupalia jambo as if you don't have something to do at your office/home? Mnafanya kazi saa ngapi? Wengine tunaingiaga humu tukichoka kutype codes, lakini ajabu unakuta mtu ameanzisha thread saa kumi na moja alfajiri (5.00am) na ameendelea kuchangia hadi usiku! Mmmh, kweli soccer ni dini mpya! Tena nikiingia humu naweka post tatu nne za kuwaudhi watu, halafu nalog-out
 
Jinsi watu wanavyoweka post zao humu, sipati shaka kabisa nikiambiwa kwamba hawa ni miongoni mwa wale wanaodondoka uwanjani mambo yakienda kombo. Hivi mtu mzima unakaa unashupalia jambo as if you don't have something to do at your office/home? Mnafanya kazi saa ngapi? Wengine tunaingiaga humu tukichoka kutype codes, lakini ajabu unakuta mtu ameanzisha thread saa kumi na moja alfajiri (5.00am) na ameendelea kuchangia hadi usiku! Mmmh, kweli soccer ni dini mpya! Tena nikiingia humu naweka post tatu nne za kuwaudhi watu, halafu nalog-out
Utambulisho wako ni Simba!
So kaa kimya maana Okwi ndio habari ya mujini.
 
Kuna mahali imeulizwa hii:

Yaani wachezaji wa Yanga wanasafiri na viroba hivyo badala ya mabegi? Huku ni kuiaibisha nchi

attachment.php
 
Kuna mahali imeulizwa hii:
Inauma kusajili jezi wakati mvaaji anaenda kwingine eenh! Hakyanani na swaumu yote ile maarage anaapiza halafu mnaendelea kumuita alhaji!!!! mnaongozwa na matikiti maji badala ya watu. mikia poleni sana na j'mosi mmekaa chini tayari!!!!
 
Hamna Timu Iliyowahi Kuchukua Pointi Tatu Pale Mbeya
Sisi Ndio Tutakuwa Wa Kwanza Na Wa Mwisho Ndani Ya Msimu Huu

Unazungumzia MCC? Kama ulishindwa kuchukua pts 3 za Mgambo Shooting pale Mkwakwani kwa miaka 2 mfululizo, MCC ni habari nyingine Mkuu. Logaloga mtamfukuza tu.
 
Inauma kusajili jezi wakati mvaaji anaenda kwingine eenh! Hakyanani na swaumu yote ile maarage anaapiza halafu mnaendelea kumuita alhaji!!!! mnaongozwa na matikiti maji badala ya watu. mikia poleni sana na j'mosi mmekaa chini tayari!!!!

My prediction: MCC 3-1 SSC, anayepinga aombe ban ya 30 days na atoe nakala kwa Invisible kwa hatua zake.
 
Last edited by a moderator:
Tunayo haki ya kuipongeza kamati ya usajiri watu kama Bin Kleb hajawai shindwa vita yoyote ya usajiri wowote mgumu.
 
Unafahamu 'jurisdiction ' ya FIFA?

Hata mimi nimeshindwa kumuelewa huyu mbulumundu, yani court of appeal itoe hukumu ya kesi halafu mtu akashtaki primary court? Nakubaliana na mdau aliyesema soccer ni dini mpya watu wanajitia upofu makusudi.
 
niliwahi kuwa shabiki sana wa soka la bongo,ila nilikuja kuachana kabisa na ushabiki wa kijinga wa yanga na simba baada ya kujitambua,klabu zinaendeshwa kiswahili mno hizi na hakuna kabisa professionalism,siku hzi hata siku simba na yanga zikicheza mechi huwa sina habari kabisa,
 
Tunayo haki ya kuipongeza kamati ya usajiri watu kama Bin Kleb hajawai shindwa vita yoyote ya usajiri wowote mgumu.

Huyu Bin Kleb anastahili kupewa shahada ya uzamivu ya heshima katika fitina za soka (honoris causa, PhD). Hajawahi kuinyong'onyesha Yanga zaidi ya kuwaliza Simba kila mwaka.
 
My prediction: MCC 3-1 SSC, anayepinga aombe ban ya 30 days na atoe nakala kwa Invisible kwa hatua zake.
Mimi siahidi lolote kupinga au kuunga mkono utabiri huo, kwani soka ni mchezo wa ajabu, unaweza ukaiweka timu ktk kambi ya sh. mil 500 bado ukaja kufungwa 5-0. Wewe unaahidi nini matokeo yasipokuwa hivyo?
 
niliwahi kuwa shabiki sana wa soka la bongo,ila nilikuja kuachana kabisa na ushabiki wa kijinga wa yanga na simba baada ya kujitambua,klabu zinaendeshwa kiswahili mno hizi na hakuna kabisa professionalism,siku hzi hata siku simba na yanga zikicheza mechi huwa sina habari kabisa,
'Titi la mama li tamu hata likiwa la mbwa'
- Shaaban Robert
 
Back
Top Bottom