FIFA yamuidhinisha Okwi kuichezea Young African

FIFA yamuidhinisha Okwi kuichezea Young African

Huyu Bin Kleb anastahili kupewa shahada ya uzamivu ya heshima katika fitina za soka (honoris causa, PhD). Hajawahi kuinyong'onyesha Yanga zaidi ya kuwaliza Simba kila mwaka.

Soma barua hii kwa makini sana Mr Makoye,

Kisha tuambie wapi FIFA wamemruhusu Okwi kucheza yanga!

Huu ushabiki wa kijingajinga ndo unapelekea soka yetu haendi mbele...!

Mnaboa.

attachment.php
 
Hiyo ligi kuu, hizo Yanga na Simba, ndio sehemu ya Tanzania unayosema unaipenda. Ukipenda boga, upende na uwa lake!


Mkuu mwangalingimungu

Sasa wewe ulitakaje kwa mfano,niichukie timu yangu ya taifa? HAIWEZEKANI

No matter inaundwa na wachezaji gani,nitaiunga mkono daima!

ANGALIZO: Mini sina tatizo na wachezaji wa SIMBA na YANGA,bali viungozi wa soka katika klabu hizi na mifumo ya kiuendeshaji isiyokuwa ya kiprofesheno! basi...

 
Last edited by a moderator:
Mkuu mwangalingimungu

Sasa wewe ulitakaje kwa mfano,niichukie timu yangu ya taifa? HAIWEZEKANI

No matter inaundwa na wachezaji gani,nitaiunga mkono daima!

ANGALIZO: Mini sina tatizo na wachezaji wa SIMBA na YANGA,bali viungozi wa soka katika klabu hizi na mifumo ya kiuendeshaji isiyokuwa ya kiprofesheno! basi...

Mimi nilitaka uelewe tu kwamba hata Premeir League iwe bomba kiasi gani, hutaweza kuwa sehemu ya sifa hizo kwa sababu wewe unaishabikia, na hata Vodacom Premeir League, Yanga au Simba ziboronge kiasi gani, hutaacha kuwa sehemu ya ubovu huo kwa sababu eti umeamua kushabikia Taifa Stars. Madhali wewe ni Mtanzania, hizi timu ni za Tanzania na Ligi ni ya Tanzania, hina jinsi ya kujiepusha nazo.
 
Back
Top Bottom