Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Hakuna cha kushangaza kwa TFFYANGA hii, na bado mengi ya ajabu tutayaona kwa nguvu ya pesa ya G@bacholi fisadi la EPA.
Ametumia pesa nyingi sana kuhalalisha uongozi wake ndani ya Yanga "at least" akubalike na awasahaulishe vipigo vya aibu Yanga inavyopata kutoka kwa Simba SC katika kipindi cha Uongozi wake. Ametangaza kujiuzulu mwaka huu si kwa kupenda ameona hasara anayoipata kiuchumi ni kubwa kuliko faida. Ngoja aondoke kama mtaendelea kuhonga hadi FIFA tena.
Mkuu vipi, haya ni maamuzi ya FIFA, TFF inaingiaje hapa? Au jamaa kapenyeza fedha hadi FIFA?