FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

Huyu tajiri wa yanga ataua mpira nchi hii. Yeye akili yote kuimaliza Simba tu.

Ameimalizaji Simba? Anaimaliza Simba ni nyie wanasimba wenyewe haiwezekani mwenyekiti wenu anafanya upuuzi kila siku na nyie mnamwangalia
 
Its unbelievable!kaka heshima yako kwanza.hivi kumbe na huku huwa upo?!

Nimekuzoea kwenye yale maeneo yetu tu!


Kiongozi huku ni kwangu pia. Mimi ni wa Msimbazi. Sasa naona huyu tajiri anatuumiza, na sina hakika kama Mwenyekiti wetu naye hahusiki maana kunaibuka mambo mengi yanayozua maswali bila majibu. Namtafuta Kipukuswa ili anijuze.
 
Kiongozi huku ni kwangu pia. Mimi ni wa Msimbazi. Sasa naona huyu tajiri anatuumiza, na sina hakika kama Mwenyekiti wetu naye hahusiki maana kunaibuka mambo mengi yanayozua maswali bila majibu. Namtafuta Kipukuswa ili anijuze.
Mkuu akishakujuza usisahau kutujuza na sisi hapa maana hali ishakuwa tete, M/kiti wetu anafanya mambo kijanja kijanja sana, huenda Yanga walishampa hela toka zamani tu na nina wasi wasi hata Kapombe huenda yakawa haya haya.
 
Mh!
Hapa Okwi, Kule Ngassa, pale Kavumbavu, Kule Msuva, Dumayo, Twite, Chuji, Mbuyu Twite, kaseja, et al
sijui......
 
Watajibeba mwaka huu. Yanga aikurupuki na hata ikikurupuka sisi ndio Yanga akuna linaloshindikana.
mmepewa mamlaka zote..............na mmezishikilia mkononi mwenu, lakn mkumbuke kila zama na kitabu chake
 
Kiongozi huku ni kwangu pia. Mimi ni wa Msimbazi. Sasa naona huyu tajiri anatuumiza, na sina hakika kama Mwenyekiti wetu naye hahusiki maana kunaibuka mambo mengi yanayozua maswali bila majibu. Namtafuta Kipukuswa ili anijuze.

Kaka nasubiri hiyo update iweke humu najua anakuheshimu anaweza kusema lolote!
 
http://www.mtnfootball.com/africa/uganda/fufa-super-league/news/2013/dec/19-kiiza-aaaoe-fifa-cleared-okwi-move-to-tanzanian-club.html
mbona link ni ile ile ya MTN na FUFA, naomba utuwekee LINK ya FIFA ikionyesha kikao kilikaa na lini na barua rasmi inayoonyesha kuwa wamemruhusu la sivyo utakuwa unapiga bra bra zile zile za kaka yake KIIZA HAMISI kujifanya ni mtendaji wa FUFA
 
nawasalim ndugu wanaspoti wote wa jf,salam zaidi zizidi kwa wanayanga
 
sasa anamtaka Kapombe

kweli klabu ni Azam, Yanga ni kilabu

J1 mnachukua 6-0 baada ya hapo tutajadili kama Yanga imewazidi, mjitoe katika utani aingie huyo Azam. Nahisi Simba hamtapeleka timu uwanjani J1; kisa, Okwi kwa nini achezee Yanga!
 
mbona link ni ile ile ya MTN na FUFA, naomba utuwekee LINK ya FIFA ikionyesha kikao kilikaa na lini na barua rasmi inayoonyesha kuwa wamemruhusu la sivyo utakuwa unapiga bra bra zile zile za kaka yake KIIZA HAMISI kujifanya ni mtendaji wa FUFA

Hata mtu akitoka kuzimu hutamwamini. Tayari Okwi katua Dar, 'J1 mnalo'.
 
Hivi huyu Al shabaab Rage bado yuko nadarakani mpaka dakika hii? Licha ya kuwafanya wana Simba ni mazuzu wasiojuwa kitu?
 
Kiongozi huku ni kwangu pia. Mimi ni wa Msimbazi. Sasa naona huyu tajiri anatuumiza, na sina hakika kama Mwenyekiti wetu naye hahusiki maana kunaibuka mambo mengi yanayozua maswali bila majibu. Namtafuta Kipukuswa ili anijuze.

Pole mkuu tatizo ni Rage hapo Msimbazi
 
kamanda pole sana muulize msomali pesa imeenda wapi??? kwani uwezi kuuza gari kwa mkopo na kadi ya gari ukatoa!!
mwenye macho aambiwi tanzama muulize msomali kala na nani pesa?
pili huyu kipukuswa kazi yake ni kukamata paka wa uchawi siku izi hana soko alie kua akimtumia ni kasim sasa msomali ana wataalam wake huyu kamdump
maelezo zaid utayapata kijiweni




Kiongozi huku ni kwangu pia. Mimi ni wa Msimbazi. Sasa naona huyu tajiri anatuumiza, na sina hakika kama Mwenyekiti wetu naye hahusiki maana kunaibuka mambo mengi yanayozua maswali bila majibu. Namtafuta Kipukuswa ili anijuze.
 
namchukia rage lakini kwa hili naona anafanyiwa uhuni..
 
Back
Top Bottom