FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

FIFA yamruhusu Okwi kuchezea Yanga

Sasa Aden RAGE ANAVYOJIAPIZA ATI ATAHAKIKISHA OKWI HACHEZEI YANGA YEYE KAMA NANI? AWABABAISHE MAFALA WAKE WA SIMBA .

FIFA YAMRUHUSU OKWI KUJIUNGA NA YANGA


Mkurugenzi wa mashindano wa chama cha soka cha Uganda Decolas Kiiza, amethibitisha kwamba shirikisho la soka duniani
FIFA limeridhia usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kujiunga na klabu ya Yanga.

“Ndio tuliandika barua FIFA na wametujibu kwamba mchezaji yupo huru kwa kusajiliwa na timu yoyote,"Kiiza alisema.

Mapema wiki hii CEO wa FUFA, Edgar Watson, alisema kwamba waliwasiliana na FIFA ili kupata maelezo juu ya uhalali wa usajili wa Okwi.

Yanga walikamilisha usajili wa Okwi mapema wiki hii kwa mkataba wa miaka miwili na huku ikiwa bado aliruhusiwa na FIFA kujiunga na SC Villa kwa muda maalum akitokea Etoile du Sahel.

Okwi tayari amewasili nchini akitokea Uganda kuja kujiunga na klabu ya Yanga mapema leo mchana.

Allan Papaok, mkurugenzi wa kampuni ambayo inashughulikia haki za Okwi, alisema leo kwamba bado hawajakamilisha usajili wa Okwi na YANGA.

“Tutasafiri kwenda Dar es salaam wikiendi hii kwa ajili ya kukamilisha usajili huu," aliongeza bwana Allan Papaok.

Hata hivyo maofisa wengi wa chama cha soka cha Uganda wanashangaa ni namna gani FIFA inaweza kumruhusu Okwi kujiunga na Yanga, wakati akiwa ameruhusiwa kujiunga na SC Villa kwa muda maalum kutoka Etoile du Sahel, ambao walikuwa na matatizo na Okwi.
 
Pole sana Mkuu. Ukienda uwanjani unaweza kuzimia, afadhali ukae nyumbani tu.
Mkuu kesho tuna uhakika wa kushinda, tutakachofanya ni kukamata kiungo chenu tu na kumwacha Okwi akikimbia kimbia bila kupata mipira, tutahakikisha Niyonzima hapigi penetration pass hata moja, kwa backward pass na square pass hazitakuwa na madhara sana kwetu na ndo atakazopiga nyingi, tumemwandaa Jonas Mkude kuvuruga mipango yote ya kiungo yeyote atakayecheza dimba la juu awe ni Dilunga, Niyonzima au Domayo maana Mkude uwezo huo anao.

Tumewaambia Uhuru Selemani, Henry Joseph, Amri Kiemba, Ramadhani Chombo, Haruna Shamte, Joseph Owino na Said Chollo watumie uzoefu wao wa mechi za watani kumaliza kazi ndani ya dakika 30 za kwanza.

Tumewaambia vijana wetu Singano, Christopher Edward, Haruna Chanongo, Said Ndemla na William Lucian endapo watapata nafasi ya kucheza wasihold sana mipira ili wasije wakaumizwa na kulazimisha unplanned substitution.
 
....kwa lipi!!!....kama kweli Okwi ataidhinishwa kucheza Yanga litakua ni jambo la kawaida saana; na wala msitarajie kuwa Simba itayumba tena-tayari imeisha jipanga, subiria tu kupokea mvua nyingine ya magoli.

Mbona tayari team imeshayumba au huoni hali halisi mkuu?
 
hii kali uwanja wa Bora Kijitonyama leo umejaa kuanzia saa 12 sababu ya OKWIIII
 
Mkuu kesho tuna uhakika wa kushinda, tutakachofanya ni kukamata kiungo chenu tu na kumwacha Okwi akikimbia kimbia bila kupata mipira, tutahakikisha Niyonzima hapigi penetration pass hata moja, kwa backward pass na square pass hazitakuwa na madhara sana kwetu na ndo atakazopiga nyingi, tumemwandaa Jonas Mkude kuvuruga mipango yote ya kiungo yeyote atakayecheza dimba la juu awe ni Dilunga, Niyonzima au Domayo maana Mkude uwezo huo anao.

Tumewaambia Uhuru Selemani, Henry Joseph, Amri Kiemba, Ramadhani Chombo, Haruna Shamte, Joseph Owino na Said Chollo watumie uzoefu wao wa mechi za watani kumaliza kazi ndani ya dakika 30 za kwanza.

Tumewaambia vijana wetu Singano, Christopher Edward, Haruna Chanongo, Said Ndemla na William Lucian endapo watapata nafasi ya kucheza wasihold sana mipira ili wasije wakaumizwa na kulazimisha unplanned substitution.

Laiti kama mpira unaongea tu na mambo yanakamilika basi we ungekuwa kocha mzuri sana na ungepata mafanikio makubwa. Watu wanajua mpira vizuri wa team pinzani na bado kupigwa wanapigwa tu.
 
okwi11.jpg mambo okwi11.jpg ya jana hayo
 
Mkuu kesho tuna uhakika wa kushinda, tutakachofanya ni kukamata kiungo chenu tu na kumwacha Okwi akikimbia kimbia bila kupata mipira, tutahakikisha Niyonzima hapigi penetration pass hata moja, kwa backward pass na square pass hazitakuwa na madhara sana kwetu na ndo atakazopiga nyingi, tumemwandaa Jonas Mkude kuvuruga mipango yote ya kiungo yeyote atakayecheza dimba la juu awe ni Dilunga, Niyonzima au Domayo maana Mkude uwezo huo anao.

Tumewaambia Uhuru Selemani, Henry Joseph, Amri Kiemba, Ramadhani Chombo, Haruna Shamte, Joseph Owino na Said Chollo watumie uzoefu wao wa mechi za watani kumaliza kazi ndani ya dakika 30 za kwanza.

Tumewaambia vijana wetu Singano, Christopher Edward, Haruna Chanongo, Said Ndemla na William Lucian endapo watapata nafasi ya kucheza wasihold sana mipira ili wasije wakaumizwa na kulazimisha unplanned substitution.

Kama una 'confo' tukutne uwanjai, mie nitakuwepo.
 
Kama una 'confo' tukutne uwanjai, mie nitakuwepo.
Mkuu nimesema uwanjani sitaenda kwa sababu ya majukumu ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wangu pamoja na familia yangu, nitamwambia Lunyamila aniwakilishe ingawa ni wa upande wa pili.
 
Back
Top Bottom